Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,770
- 59,091
Sob na wewe hua unajipurizia hizo nini?following user thanks you for this useful post
sobhuza!
Sob na wewe hua unajipurizia hizo nini?following user thanks you for this useful post
sobhuza!
Hahaha. . . labda utumie jiki ndo mambo yatakua mambo.
Hhhhhm huko ndio kabisaaaa, bora Kurwa mara Elfu.
Mafuta ya breki yataongeza giza ila hayatatoa madoa.jiki inaunguza, mafuta ya breki ni mafuta dawa lol nmekumbuka mbali kweli....
Basi ntamwambia Matola hahahahahaha, hivi kilitokea nini bdae kati yenu?
Mafuta ya breki yataongeza giza ila hayatatoa madoa.
Hehehehe kwani kulikua na nini?
mi hayo maswali yako ya mviringano ndo siyataki,
haya ngoja nlale yamenishinda mie!