Wanaume: Kwani kuna ubaya gani mkeo akijua kuendesha gari?

Tajirimsomi

JF-Expert Member
Jan 12, 2017
4,825
5,559
Jamaa yangu mmoja ana mgogoro na mke Wake takribani Week tatu, walichangia yeye na wife wakanunua gari la familia harrier moja bomba sana.

Sasa tatizo limekuja wife anataka ajue kuendesha ili naye awe analitumia katika root tofauti jamaa yangu hataki kusikia hicho kitu hata ufunguo wa gari kaamua kuuficha gari linatoka kwa matakwa yake.

Kwani kuna tatizo gani mkeo akijua kuendesha gari?
 
HAKUNA UBAYA TENA NI JAMBO ZURI.KUNA SIKU MUME UTAUMWA AU KUSAFIRI.MKE ATAENDESHA.ILA AKINITAFUTA NIMUENDESHE NA WEWE UMESAFIRI LITAKUWA TATIZO LAKO LA KUJITAKIA.
 
Jamaa yangu mmoja ana mgogoro na mke Wake takribani Week tatu, walichangia yeye na wife wakanunua gari la familia harrier moja bomba sana.

Sasa tatizo limekuja wife anataka ajue kuendesha ili naye awe analitumia katika root tofauti jamaa yangu hataki kusikia hicho kitu hata ufunguo wa gari kaamua kuuficha gari linatoka kwa matakwa yake.

Kwani kuna tatizo gani mkeo akijua kuendesha gari?
Labda anaona hajajua vizuri ataliganga.
 
Jamaa yangu mmoja ana mgogoro na mke Wake takribani Week tatu, walichangia yeye na wife wakanunua gari la familia harrier moja bomba sana.

Sasa tatizo limekuja wife anataka ajue kuendesha ili naye awe analitumia katika root tofauti jamaa yangu hataki kusikia hicho kitu hata ufunguo wa gari kaamua kuuficha gari linatoka kwa matakwa yake.

Kwani kuna tatizo gani mkeo akijua kuendesha gari?
Mmh uyo baba atakuwa mkoloni
 
Inawezekana jamaa anamlinda mkewe. Pengine missus mlevi kupindukia, mzururaji, ana matatizo ya macho, au udhaifu wowote tu ambao unaweza kuwa hatari kwake na kwa wengine akiwa kwenye usukani. Ni vyema tungesikia sababu zake kwanza.
 
Huyo jamaa ana matatizo yake mwenyewe. Bado anafikra kwamba gari ni chombo cha starehe wakati siku hizi gari ni chombo cha lazima (necessity) kama unamudu gharama ya kununua gari.

Afikirie siku ameumwa ghafla usiku na mke hafahamu kuendesha gari nani atamwahisha hospitali?
 
Jamaa yangu mmoja ana mgogoro na mke Wake takribani Week tatu, walichangia yeye na wife wakanunua gari la familia harrier moja bomba sana.

Sasa tatizo limekuja wife anataka ajue kuendesha ili naye awe analitumia katika root tofauti jamaa yangu hataki kusikia hicho kitu hata ufunguo wa gari kaamua kuuficha gari linatoka kwa matakwa yake.

Kwani kuna tatizo gani mkeo akijua kuendesha gari?

Nadhani jamaa yako ni mbinafsi pia ushamba wa gari unamsumbua, akizoea yeye mwenyewe atampeleka shule, najua kumfundisha hataweza kama wanaume wengi watakavyo kubali kuwa ni shida.
 
Inawezekana jamaa anamlinda mkewe. Pengine missus mlevi kupindukia, mzururaji, ana matatizo ya macho, au udhaifu wowote tu ambao unaweza kuwa hatari kwake na kwa wengine akiwa kwenye usukani. Ni vyema tungesikia sababu zake kwanza.
Dada mapepe anapenda Show off ila binafsi sioni sababu
 
Nitamfundisha hadi kufungua tairi, maana ikitokea tuko safarin gari imepata pancha mi nalala tyuuuu
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom