figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,483
- 54,853
Wote tunajua kuwa mwanamke ni ubavu wetu na mfariji pia.haifurahishi kumfokea nakumdhalilisha mkubwa mwenzio mbele za watu.anapokosea aelekezwe kwa upole na unyenyekevu.
Wanaume dhibiti hasira zenu,kueni na hekima ili kuokoa ndoa zisivunjike.wanaume jiheshimuni ili kupunguza watoto wa mitaani wanaoteseka.
wanaume waheshimuni wapenzi wenu hata kama hujamuoa.usimdanganye mwenzio.
kwa leo ni hayo tu.nawatakieni familia njema zenye furaha.mia
Wanaume dhibiti hasira zenu,kueni na hekima ili kuokoa ndoa zisivunjike.wanaume jiheshimuni ili kupunguza watoto wa mitaani wanaoteseka.
wanaume waheshimuni wapenzi wenu hata kama hujamuoa.usimdanganye mwenzio.
kwa leo ni hayo tu.nawatakieni familia njema zenye furaha.mia