Wanaume: Kosa dogo linaweza kutufanya tusipendwe na watoto wetu hapo baadaye. Mwanangu wa miaka mitano amenistua leo

ni rahisi sana kwa babakumfool mtoto mdogo ili ampende pengine kuzid hata mama yake mfano kwenye huo mfano kwani glori hiyo ni sh ngapi ?? hata kama hutaki **** hela basi kanunue mwenyewe pamoja na hayo maputo umletee mfano mimi niliokua mdogo baba yangu mzazi hakua na kazi mama ndo alikua anafanya kazi ila mzee alikua akija pale home ni vurugu mzee akipata shilingi mia huko au akipewa na mama ataleta pale vitoy ya kuchezea sijui ice cream jumapili kama yupo home anatuchukua anatupeleka mahala tunakunywa soda nini ilifikia wakati kwamba tukawa tunaona bila baba maisha hayaendi kumbeni style tuu alikua anatumia kutuonesha kulea mtoto kama sio rocket science hata kama ungekua wewe mzee wako hayuko karibu lazima umuone kama anazingua
😅😅😅kweli aisee
 
Back
Top Bottom