Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
Inatokea mkeo au mpenzi wako anasumbuliwa na maradhi ambayo anatakiwa kumuona mtaalamu wa maradhi ya kike. Halafu kwa bahati nzuri unaye rafiki yako ambaye ni mtaalamu wa fani hiyo na anafanya kazi kwenye hospitali kubwa ya serikali. Je unaweza kuruhusu mkeo kwenda kumuona rafiki yako huyo daktari wa magonjwa ya kike kwa ajili ya vipimo na matibabu?