Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,806
- 15,379
Inawezekana ikawa ni kwenye mtoko wa kwanza, kutokana na mazingira kuruhusu na kuwa muafaka kwenu mkajikuta tu jambo hilo limefanyia bila nyie kujijua, au inawezekana baada ya mitoko miwili mkajikuta mmefikia hatua ya kujamiiana.
Hebu fungukeni, mnamchukulia vipi mwanamke anayekubali kujamiiana muda mfupi tu baada ya kujuana?
1. Je ni malaya?
2. Je, anakupenda sana?
3. Je kuna kitu kimemvutia kwako na anataka kukunasa haraka?
4. Anajiamini na amekuamini na hana cha kupoteza hata ukimuacha,
5. Ana matarajio makubwa juu yako na anaamini uhusiano wenu utafika mbali kwa kuwa kuna mambo mengi mnaendana.