BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
mmmmh!! hapa patamu...nawasoma vizuri wote!!
Mkuu Mtambuzi nakubaliana na maelezo yako kwa 100%. Unajua dada zetu na sio dada zetu tu bali na vijana wote pia kwa ujumla wanapaswa kuwa makini wanapoanzisha uhusiano wa kimapenzi. Watambue kuwa kila mtu huwa ana sababu au madhumuni ya kuanzisha uhusiano huo. Hivyo hata siku moja wasije wakadhani na kuamini kuwa wazo au dhumuni ulilonalo la kuanzisha uhusiano huo ndilo hilo hilo ambalo analo mwenzako. Ukifanya hivyo utakuwa umekosea sana na hapa ndio vijana wengi tunapoangukia pua.
Kutambua sababu au dhumuni la mpenzi wako kuanzisha uhusiano na wewe ni hatua muhimu sana ambayo vijana wengi huwa tunaipuuza na matokeo yake tunaishia kulaumu kwamba wanaume ni wabaya au wanawake ni wabaya wakati kosa umelifanya mwenyewe.
Kwa karne hii, mwanamke msumbufu hana nafasi kwangu.
Kwa karne hii, mwanamke asiye msumbufu SI lazima awe malaya
Kwa karne hii mwanamke msumbufu SI lazima ASIWE malaya
Kwa karne hii kufanya ngono kwa wakati gani ni UAMUZI na siyo KUFIKIRIA au KUSUMBUA.
Mwanamke atakayengonoka nami baada ya kukutana naye siku moja hana tofauti na nliyesumbuana naye kwa miezi sita. Wote ni walewale tu. Mwalimu wao ni mmoja.
mmmmh!! hapa patamu...nawasoma vizuri wote!!
kwa mtizamo wangu ni kuwa kuna wanawake wengi ambao ambao wanatoa nanihii cku ya kwanza wako honest zaidi kuliko wanaopiga danadana ili waonekane credible, kwa sababu jamii na tamaduni nyingi zinaelekeza kuwa eti kujiachia kirahisi ni umalaya.
Umeona eeh! Wanafungukaje!
Inawezekana ikawa ni kwenye mtoko wa kwanza, kutokana na mazingira kuruhusu na kuwa muafaka kwenu mkajikuta tu jambo hilo limefanyia bila nyie kujijua, au inawezekana baada ya mitoko miwili mkajikuta mmefikia hatua ya kujamiiana.
Hebu fungukeni, mnamchukulia vipi mwanamke anayekubali kujamiiana muda mfupi tu baada ya kujuana?
1. Je ni malaya?
2. Je, anakupenda sana?
3. Je kuna kitu kimemvutia kwako na anataka kukunasa haraka?
4. Anajiamini na amekuamini na hana cha kupoteza hata ukimuacha,
5. Ana matarajio makubwa juu yako na anaamini uhusiano wenu utafika mbali kwa kuwa kuna mambo mengi mnaendana.
Inawezekana ikawa ni kwenye mtoko wa kwanza, kutokana na mazingira kuruhusu na kuwa muafaka kwenu mkajikuta tu jambo hilo limefanyia bila nyie kujijua, au inawezekana baada ya mitoko miwili mkajikuta mmefikia hatua ya kujamiiana.
Hebu fungukeni, mnamchukulia vipi mwanamke anayekubali kujamiiana muda mfupi tu baada ya kujuana?
1. Je ni malaya?
2. Je, anakupenda sana?
3. Je kuna kitu kimemvutia kwako na anataka kukunasa haraka?
4. Anajiamini na amekuamini na hana cha kupoteza hata ukimuacha,
5. Ana matarajio makubwa juu yako na anaamini uhusiano wenu utafika mbali kwa kuwa kuna mambo mengi mnaendana.