Wanaume inakuwaje hamridhiki na wake zenu?

Wewe umejuaje haturidhiki??na nyie huku mjini mmetoa mimacho utadhani wawindaji!!!
 
Kwani nyie wanawake ndio mnaridhika na waume zenu? Na nyie ni wale wale..changia basi na hii
 
Nimepotea chumba nini!! Nimeingia bila kusoma mlangoni, nilikuwa naenda chumba cha wageni........
 
usiwasemee wenzako....
uliza inakuwaje mume wako haridhiki na wewe?
nafikiri ni jukumu lako kumridhisha mumeo, koz hawezi ridhika bila kuridhishwa!!nakushauri ujitume uwanjani jamaa atatulia tu....
 
yani mtu kwenye utambilisho anaanza na wanaume...

watu wengine bhana
 
Kwa uzoefu wangu naona kwamba hali hii inachangiwa hasa na wanawake wenyewe kwa njia ya kujijengea ukuta dhidi ya mume. wanafanya hivyo kwa kutokuwa na ushirikiano mzuri katika tendo la ndoa; mara atakwambia amechoka au hata kusema hasemi anakuangalia tu unavyohangaika kupata unyumba. mwishowe unafika mahali unaona bora ukjipumzishe pale penye huba. vinginevyo mtakuwa mnalalamikiana hadi urushe ngumi kitu ambacho hakifai.

sababu zingine ni kukosa kujua kwamba wewe ni mumewe hivyo mnapaswa wote mpeane unyumba kwa bidii na ufundi na nafasi ya kutosha! kama unafurahia onyesha kuwa unafurahia vinginevyo mume ataona kama yuko peke yake maana hutikisiki, hugeuki, huungi mkono jitihada za mwenzio. inakatisha tamaa.
wanawake wengi sana wanaoathiriwa na hili ni wale wanaofanya kazi na kiasi fulani wana kipato kizuri ambacho kinawapa kiburi kisicho na mpango hadi ndoa zao zinakuwa jina tu. Yaani zilishakufa siku nyingi!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom