Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Mkuu ndo maana nachukia homeworks hadi leo....mi nimesoma primary zile za kina Kayumba, hakuna homework! Nimekuja kuzifahamia ukubwani...ndo maana hadi sasa napendaga kumaliza kazi papo kwa papo kiongozi....hakuna kusubiri...lol
You have made my day mkuu. Ngoja nami nisepe nikawahi kaserengeti ka baridi. Watanimalizia watu.