Mvina
JF-Expert Member
- Aug 2, 2009
- 998
- 34
Kuna baadhi ya wanaume ni viumbe vya ajabu, hata apate mwanamke mwenye tabia nzuri, sura nzuri, umbo zuri na elimu lakini bado atachomoka kwenda nje. Hivi viumbe kuridhika ipo tabu.
Mi bado tu sijapata mwanamke bora kama wewe nadhani hata ukiamua kunifuga is okay.Na je wanawake wanaotest nje nawao ikoje?