Waambie mkuu... unasema umemkomoa unalala hoi asubuhi ukiamka unakuta keshakuwekea maji bafuni, chai keshapika yuko anafanya usafi. yaani kama hamna ulichofanya...wakati huo wewe uko kitandani unaomba uji wa uvuguvugu
Wewe unamkaza jini mahaba si bure, halafu haya mambo hayana kukariri hadi uje kuhitimisha hapa wanaume wajue hawawaridhishi wanawake zao wakidhani wanawadanganya.
Utavunja mahusiano ya watu kisa wanawake wenye mapepo hao uliotembea nao.
Nimekumbuka physics lile swal, differentiate between plasticity and elasticity and give examples to each,
mifano ya elasticity nlitaja mmoja tu kumbe na hii ngozi ilikuemo asee!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.