TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 8,858
- 23,117
Wanaume wenzangu wala tusitetereke, tuendelee kukaza uzi. Sasa hivi wanawake wamecahruka kweli kweli. wanatubambikizia kila aina ya kashfa, dharau, matusi na sifa ambazo hazikuwepo. Tena wana umoja utafikiri walikaa vikao halali vya kupyishia ajenda zao za kifedhuli.
Wanaume wenzangu, sisi tumeumbwa kupambana na magumu na mepesi yote yanayokuja mbele, nyuma na pembeni. Haya ya kutukejeli eti siku hizi tunapenda kulelewa kama wanawake, mara tuna vibamia, mara pumzi kisoda, mara viben ten, mara tuna deka, Marioo, mara hatujishugulishi kitandani ni upepo tu.
Ni miaka micahche tu hawahawa wabeijing walikuwa wanatuita sisi mabuzi, washefa, sugar daddies, walezi na kila aina ya majina kuashiria kwamba kuna kitu kizuri wanapata kutoka kwetu.
Mwanaume mwenzangu umeshajiuliza kwanini majina na hizi sifa za ajabu zimekuja kwa gafla ya bin vuu. ni rahisi sana kujua na hata wao wanaijua.
Sababu ya msingi sasa hivi wanaume tumejielewa na tumejtambua na hatutaki masihara kwenye pesa/kipato na mali zetu. Unajua nini? Wanawake lazima wawe na chuki, visa, hasira, ngebe na ghadhabu.
wewe fikiria mwenyewe, tumesitisha au kupunguza sana kuhonga pesa za kuvaa, kula, saluni, kodi, usafiri, starehe, matibabu na kila aina ya huduma..... unategemea ni nini hapo? ubafikiri utaitwa tena mshefa? au unafiri utasifiwa buzi lenye ngozi nene (japo sio sifa nzuri).
Sasa nasema hivi, hakuna cha sababu ya plastiki kukaza wala kulegea, ni kwamba tumejitambua na hatutarajii kuhonjga tena kizembe zembe. Tuko tayari kuvumilia kila aina ya kashfa mtakazotupa lakini kuhusu kuhongwa msahau.
Mnajifanya eti dildo na usagaji ndio staree ili tu kututisha tuone mnatukimbia eti labda turudie kwenye kuhonga, nasema mmenoa.
Siku njema
Wanaume wenzangu, sisi tumeumbwa kupambana na magumu na mepesi yote yanayokuja mbele, nyuma na pembeni. Haya ya kutukejeli eti siku hizi tunapenda kulelewa kama wanawake, mara tuna vibamia, mara pumzi kisoda, mara viben ten, mara tuna deka, Marioo, mara hatujishugulishi kitandani ni upepo tu.
Ni miaka micahche tu hawahawa wabeijing walikuwa wanatuita sisi mabuzi, washefa, sugar daddies, walezi na kila aina ya majina kuashiria kwamba kuna kitu kizuri wanapata kutoka kwetu.
Mwanaume mwenzangu umeshajiuliza kwanini majina na hizi sifa za ajabu zimekuja kwa gafla ya bin vuu. ni rahisi sana kujua na hata wao wanaijua.
Sababu ya msingi sasa hivi wanaume tumejielewa na tumejtambua na hatutaki masihara kwenye pesa/kipato na mali zetu. Unajua nini? Wanawake lazima wawe na chuki, visa, hasira, ngebe na ghadhabu.
wewe fikiria mwenyewe, tumesitisha au kupunguza sana kuhonga pesa za kuvaa, kula, saluni, kodi, usafiri, starehe, matibabu na kila aina ya huduma..... unategemea ni nini hapo? ubafikiri utaitwa tena mshefa? au unafiri utasifiwa buzi lenye ngozi nene (japo sio sifa nzuri).
Sasa nasema hivi, hakuna cha sababu ya plastiki kukaza wala kulegea, ni kwamba tumejitambua na hatutarajii kuhonjga tena kizembe zembe. Tuko tayari kuvumilia kila aina ya kashfa mtakazotupa lakini kuhusu kuhongwa msahau.
Mnajifanya eti dildo na usagaji ndio staree ili tu kututisha tuone mnatukimbia eti labda turudie kwenye kuhonga, nasema mmenoa.
Siku njema