Asnam
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 4,256
- 2,944
mi nahisi medula oblangata zao haziko sawasawaBila aibu kavu live....lini utanipa sasa??
mi nahisi medula oblangata zao haziko sawasawaBila aibu kavu live....lini utanipa sasa??
Hayachachafyi dadangu sema tu wewe hujayapenda,..si unajua vijana wa siku hizi vinywa lainiii.Kwahiyo hayo maneno yanayochachafya yanapunguza kujishongondoa????
Yaani walikua wanasumbukaje . Mtu kakataliwa lkn yumo tu tena wakati mwingine na mvua imemnyeshea. Walikua wanapangilia mistari kwa ustadi sana mpaka ukikumbuka unasikia raha lolNa ni bora udanganyike kwa style hii mwisho wa siku utajifariji not your fault maana hukua na doubt na hiyo package nzima ya maneno,yamepangwa yakapangika
hahahahahahahaaha wewe mkorofi sasa au wanaita we mamdogo khaaaaunajua anti mi nakuzimikia ile mbaya....,
sa ka ushajua mi anti yako ya nini utake kunigegeda......,
hahahahahahaha hawana hata tafsida kwenye maneno yao, eti utanipa lini mzigo. Au binti mzuri anaitwa demu wangu huyu huko nyuma thubutu sana sana utaitwa malaikami nahisi medula oblangata zao haziko sawasawa
Salam mbele kwa wakubwa na wadogo
Tafakuri yangu leo ni kwenye hiki kitabia kilicho common sana kwa wanaume wa zis days
Kuna baadhi ya vijimameno wanavyotumiaga wakiwa wanaaproach vinakera sana maana hayana tafsida na yamejaa utratra mtupu pia kwa maneno hayo kujua nia ya kidume fekelo au orijinali ni ngumu wajameni
Mara mia kauli kama hizi zitumiwe na watu ambao ni wapenzi tayari kidogo utata haupo lakin ndio kwanza unaaproach na hujakubaliwa unaanza kuchomekea maneno kama haya..
1. Nakutaka
2. Nakutamani
3. Naomba msaada nimezidiwa
4. Nna hamu kweli na wewe
5. Yaelekea we ni mtamu sana
To mention a few,KE wanaweza kutupia mengine yafananayo na hayo
NB: Men try to approach gently;mfano umenivutia,nakuhitaji makes sense than nakutamani,nakutaka.
Cha ajabu neno nakupenda utalisikia very rarely au usilisikie kbs
Mkuu ulikuwa unapata mkangayiko?wewe ni mwanamke kumbe?
Salam mbele kwa wakubwa na wadogo
Tafakuri yangu leo ni kwenye hiki kitabia kilicho common sana kwa wanaume wa zis days
Kuna baadhi ya vijimameno wanavyotumiaga wakiwa wanaaproach vinakera sana maana hayana tafsida na yamejaa utratra mtupu pia kwa maneno hayo kujua nia ya kidume fekelo au orijinali ni ngumu wajameni
Mara mia kauli kama hizi zitumiwe na watu ambao ni wapenzi tayari kidogo utata haupo lakin ndio kwanza unaaproach na hujakubaliwa unaanza kuchomekea maneno kama haya..
1. Nakutaka
2. Nakutamani
3. Naomba msaada nimezidiwa
4. Nna hamu kweli na wewe
5. Yaelekea we ni mtamu sana
To mention a few,KE wanaweza kutupia mengine yafananayo na hayo
NB: Men try to approach gently;mfano umenivutia,nakuhitaji makes sense than nakutamani,nakutaka.
Cha ajabu neno nakupenda utalisikia very rarely au usilisikie kbs
Salam mbele kwa wakubwa na wadogo
Tafakuri yangu leo ni kwenye hiki kitabia kilicho common sana kwa wanaume wa zis days
Kuna baadhi ya vijimameno wanavyotumiaga wakiwa wanaaproach vinakera sana maana hayana tafsida na yamejaa utratra mtupu pia kwa maneno hayo kujua nia ya kidume fekelo au orijinali ni ngumu wajameni
Mara mia kauli kama hizi zitumiwe na watu ambao ni wapenzi tayari kidogo utata haupo lakin ndio kwanza unaaproach na hujakubaliwa unaanza kuchomekea maneno kama haya..
1. Nakutaka
2. Nakutamani
3. Naomba msaada nimezidiwa
4. Nna hamu kweli na wewe
5. Yaelekea we ni mtamu sana
To mention a few,KE wanaweza kutupia mengine yafananayo na hayo
NB: Men try to approach gently;mfano umenivutia,nakuhitaji makes sense than nakutamani,nakutaka.
Cha ajabu neno nakupenda utalisikia very rarely au usilisikie kbs
.......yalikuwa mambo ya nakuona kwenye glass..Bora tulivyokua tunaaprochiwa zamani , ilikua heshima mbele tena hata wasio na adabu ilibidi wajitahidi ili mradi wampate mrembo . Ilikua nzuri sana maana walivyokua na maneno mazuri hata kama unadanganywa ilikua ngumu kujua. Poleni sana wakileo
hahahaha au dada moyo wangu umekudondokea, huko ilikua kanda ya ziwa lkn dar mtu anamaliza lugha zote tena zenye maneno ya mvuto kiasi kwamba hata hukutaka unajikuta umesema yes........yalikuwa mambo ya nakuona kwenye glass..
hahahaha au dada moyo wangu umekudondokea, huko ilikua kanda ya ziwa lkn dar mtu anamaliza lugha zote tena zenye maneno ya mvuto kiasi kwamba hata hukutaka unajikuta umesema yes.
Kweli haya maendeleo yameharibu sana. Ilikua ukiandikiwa barua unairudia rudia kuisoma aisee. Ilikua raha kwa kiasi flani lkn shida ilikua ukicancel appointment inakua tabu namna ya kuwasiliana japokua ilikua poa tu mtu anakusubiri massaaa kadhaa na akiona hutokei basi anaondoka.Ha ha ha....au ilikua mambo ya barua zilizo kuwa na maneno matamu....siku hizi simu a mitandao inaharibu pia..?
aliyewaambia muwe na mahusiano na macheki bob
ndiye aliyewafikisha huko.