Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,979
- 5,295
Salaam!
Kwangu mimi nimeshindwa kabisa, yaani msichana hata akiwa na uzuri kiasi gani, nisipompenda tu siwezi kusimamisha uume, ila nikimpenda daaah yaani kitu ngangari mwake mwake.
Nirudi kwenye swali, hivi wengine mnaweza? Au mimi nipo different? Yaani mademu wengi tu wanajigonga kwangu ila kama sijawaelewa nawachana tu kiroho safi.
Kwangu mimi nimeshindwa kabisa, yaani msichana hata akiwa na uzuri kiasi gani, nisipompenda tu siwezi kusimamisha uume, ila nikimpenda daaah yaani kitu ngangari mwake mwake.
Nirudi kwenye swali, hivi wengine mnaweza? Au mimi nipo different? Yaani mademu wengi tu wanajigonga kwangu ila kama sijawaelewa nawachana tu kiroho safi.