Mzalendo JR
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 1,193
- 515
Hii mi siwezi kumsaidia ila ukija na the same heading I can defend kutoa kakitu ni poaaaaaaaaaaaaaaa........though u cry
Hapa mtaani kuna baba dume zima, baba mwenye watoto wawili kakabaka katoto ka miaka 12.
Baba huyo kakamata katoto kakitoka bombani kuteka maji, maji huanza kutoka saa 4 kamili hadi saa 8 usiku.
Baada ya kipigo kikali Anasema kavutiwa na vichuchu vya na kuanzia azaliwe hajawahi kutoa msichana yeyote bikira.
Jamani, hivi nyie midume mna akili kweli?
Ukitoa msichana bikira wewe ni shujaa kuliko hata waliopigana vita vya MajiMaji.
Wanaume wengine akili zao moshi tu
Ukitoa msichana bikira wewe ni shujaa kuliko hata waliopigana vita vya MajiMaji.
yaani mwehu mmoja ndo unatukana wanaume woote?
ushujaa unaosema wewe ni huo wa kutoa cell membrane (hymen) ama? na nyie wanaume bikra yenu inatolewaje au day 1 tu ukinanhi kwisha habari ama mii sielewagi ati, haha The emperor umenichekesha sana ati unakuwa shujaa kuliko waliopigana vita vya majimaji dah hii comparison mbona haina common set . uwiii wanaume jaman
wewe maneno yako hayo ndio
maana kichwa chako katikati kuna tobo