Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,124
- 201,141
Aiseee. Kwelikawaida tu me nayapenda
Aiseee. Kwelikawaida tu me nayapenda
Mwambie Mumeo ndio aone aibu...Wanaume wengine wanakuhusu nini ikiwa si wakwako?Jamani wanaume hivi huwa hamwoni aibu kutembea kifua wazi na manywele kifuani kama msitu?,hivi yenyewe huwa hayanyolewi? Unamkuta mkaka yupo busy comfortable kifua wazi na minywele yake kifuani imeunganikana na ya kwapani yaani ni shida! I take it weird though wakaka wanaona poa even other ladies take it weird I guess. Kwa kweli sitapendaga mume wangu awe anakaa kifua wazi.
Mbona mimi sina ulinipendea nini siku ile??kawaida tu me nayapenda
Mbona nyi mnatembea vichwa wazi na manywele na hamuoni aibu??!!..Jamani wanaume hivi huwa hamwoni aibu kutembea kifua wazi na manywele kifuani kama msitu?,hivi yenyewe huwa hayanyolewi? Unamkuta mkaka yupo busy comfortable kifua wazi na minywele yake kifuani imeunganikana na ya kwapani yaani ni shida! I take it weird though wakaka wanaona poa even other ladies take it weird I guess. Kwa kweli sitapendaga mume wangu awe anakaa kifua wazi.
Juzi tu nmekuona unaanika nguo hujavaa bra
Akina Tomaso tuko wengiPicha itanogesha Maelezo yako
mbona nyie mnapiga jeki matiti na sisi hatusemiJamani wanaume hivi huwa hamwoni aibu kutembea kifua wazi na manywele kifuani kama msitu?,hivi yenyewe huwa hayanyolewi? Unamkuta mkaka yupo busy comfortable kifua wazi na minywele yake kifuani imeunganikana na ya kwapani yaani ni shida! I take it weird though wakaka wanaona poa even other ladies take it weird I guess. Kwa kweli sitapendaga mume wangu awe anakaa kifua wazi.
kawaida tu me nayapenda
Mkuu mi nataka niyaone hayo manyweleAkina Tomaso tuko wengi
Jamani wanaume hivi huwa hamwoni aibu kutembea kifua wazi na manywele kifuani kama msitu?,hivi yenyewe huwa hayanyolewi? Unamkuta mkaka yupo busy comfortable kifua wazi na minywele yake kifuani imeunganikana na ya kwapani yaani ni shida! I take it weird though wakaka wanaona poa even other ladies take it weird I guess. Kwa kweli sitapendaga mume wangu awe anakaa kifua wazi.
Ndio shauku ya wengi kwenye hii thread. Ngoja mleta mada alete pichaMkuu mi nataka niyaone hayo manywele
Anaweza akawa amekimbiaNdio shauku ya wengi kwenye hii thread. Ngoja mleta mada alete picha
unanitafutia wapi mtani?Mbona mimi sina ulinipendea nini siku ile??
Afu nakufuta mtani valentine atakwambia huko unitafute.
Ndiyo!unanitafutia wapi mtani?
umenipata nichukueNdiyo!
Serious wasiliana na valentina akupe mawasiliano yanguumenipata nichukue