Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 20,546
- 70,797
Ni midogo sana kwa mwanaume wa miaka 22 kuingia kwenye ndoaMidogo sana kuingia kwny ndoa
ila iko sawa sana kwa mwanamke kuolewa katika umri huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni midogo sana kwa mwanaume wa miaka 22 kuingia kwenye ndoaMidogo sana kuingia kwny ndoa
Je we ungependa ukaingia kwa ndoa ukakuta jamaa Ana kidudu kama kidole cha mwisho aka kibamia?? Si utatoka nje. So ndio maana na sisi tunajaribu ili tusilaumiane huko mbeleHabari wana JF, wakubwa shikamooni,
Samahani kama nitawagusa ila nimekutana na wakaka wengi na katika mazungumzo wengi wanapenda SEX BEFORE MARRIAGE.
Mwingine akadiriki hata kusema anataka binti amzalie mtoto ndo amuoe eti asijekuwa ameuziwa mbuzi kwenye gunia.
Naomba kuuliza sababu hasa ya kuoa ni nini?
Na je zipo sababu nyingine out of love?
Uwasubirie akina nani???.......tupe jibu kwanza wewe kwa sababu wewe ni kinara wa sex before marriage huku ukiwa unapeperusha bendera ya ile style yako pendwa ya kukaa juu wakati wa sex!!ngoja niwasubirie wajibu
acha nyeli na dhihaka, usijifikirie kwamba wewe ni mwerevu sana kuliko ufahamu wa mleta mada... wewe si yoyote kwenye maamuzi yake, 22 akasome nini ambacho amekiacha kitakachomfanya asiwe huru kuulizia masuala ya ndoa? ujuaji ukizidi huondoa busara... umejichoresha vibaya sana mkuu, huwezi elewaWw miaka 22 unaanza kuulizia mambo ya ndoa...soma kwanza
mimi tatizo ni genye sasa miaka yangu ni mingi nikisema nisubirie hiyo marriage naweza kufa na amutamu yangu bila kujua utamua wake.. sema uzuri tunanafasi ya kurekebisha basiUwasubirie akina nani???.......tupe jibu kwanza wewe kwa sababu wewe ni kinara wa sex before marriange na ile style yako ya kukaa juu!!
mimi tatizo ni genye sasa miaka yangu ni mingi nikisema nisubirie hiyo marriage naweza kufa na amutamu yangu bila kujua utamua wake.. sema uzuri tunanafasi ya kurekebisha basi
Hutaki nini sasa wakati unajua wewe si bikra, unakataa sasa unamtunzia nini huyo unayemwambia hadi ndoa?Kuonja na kula n vitu viwil tofaut...sometimes mnaishia kuonja na kufunika dats why hatutak kuonjwa onjwa
Ww umeolewa na miaka mingapi?!Ni midogo sana kwa mwanaume wa miaka 22 kuingia kwenye ndoa
ila iko sawa sana kwa mwanamke kuolewa katika umri huo
Natimiza 80 mwaka huuWw umeolewa na miaka mingapi?!
huo uthamani ulikuwaga zama za kale! sasa hivi wanaume ndio wamebadili na kuwa wa dhamani sana! uongo?Mwanamke ana thaman kubwa zaid ya gar....sio wa kutest test kila unapojiskia
hata mungu anajua kuwa viumbe wake mmepotoka ,tena kwa ushauri wangu ilitakiwa kabla ya kutoa kishika uchumba muanze kuishi wote umsome mwenzio ukiona hafaiiiii unachukua mwingineHabari wana JF, wakubwa shikamooni,
Samahani kama nitawagusa ila nimekutana na wakaka wengi na katika mazungumzo wengi wanapenda SEX BEFORE MARRIAGE.
Mwingine akadiriki hata kusema anataka binti amzalie mtoto ndo amuoe eti asijekuwa ameuziwa mbuzi kwenye gunia.
Naomba kuuliza sababu hasa ya kuoa ni nini?
Na je zipo sababu nyingine out of love?
Ndoa ni jinsi ulivyo jipanga na maelewano yenu wala miaka haihusiki hapo hiyo miaka ni mapendezo ya watu kuwa umri fulani unafaa kuoa na kuolewa,Midogo sana kuingia kwny ndoa
Ili kuepuka hilo la kukosa watoto baada ya ndoa kufungwa ndipo inapaswa kutafuta mtoto kwanza, ndoa baadae.Na ikitokea umeoa mkakosa watoto inakuwaje? Coz watoto n matokeo tu ktk ndoa..naweza sema n baraka tu za mwenyez Mungu