green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 11,305
- 35,852
Wakuu kama mnapitia hii kitu sijui mnawezaje kuishi nao, hamna kitu sipendi kama mwanamke kunichunga chunga kama mbuzi. Eti abiria chunga mzigo, ni kauli ya kujifariji tu
Mimi mtu kuniulizauliza upo wapi mbona nasikia kama upo bar, au anapiga simu unapokea linakaa kimya kusikilizia sauti au umelala linavizia simu linapekua meseji akikukutana na alichokua anatafuta unakuta kavimba mashavu kama Comba kaona mbwa huo ni upimbi.
Lingine limevimba kama Cobra linakuvizia usiku umelala linakumwagia mafuta ya moto eti linakukomoa. Nikikuhisi unanifatilia nakutanguliza kibla
muhogo,nazi,karanga tende,asali
Mimi mtu kuniulizauliza upo wapi mbona nasikia kama upo bar, au anapiga simu unapokea linakaa kimya kusikilizia sauti au umelala linavizia simu linapekua meseji akikukutana na alichokua anatafuta unakuta kavimba mashavu kama Comba kaona mbwa huo ni upimbi.
Lingine limevimba kama Cobra linakuvizia usiku umelala linakumwagia mafuta ya moto eti linakukomoa. Nikikuhisi unanifatilia nakutanguliza kibla
muhogo,nazi,karanga tende,asali