quavio wa tz Member Aug 22, 2018 88 36 Aug 16, 2020 #1 Wanatutupia lawam kila siku tuna matatizo kumbe ni wao wana shida kubwa. Play kuanzia dakika ya 27
DiasporaUSA JF-Expert Member Aug 27, 2016 23,291 29,485 Aug 16, 2020 #3 Hicho kipindi cha wasafi kinahamasisha uzinzi
Misako JF-Expert Member Jul 15, 2020 1,144 1,398 Aug 16, 2020 #4 Hiyo ni kwa mujibu wa Dr. Mwaka...cjui wanawake watalichukukiaje....na wao kuna haja ya kutumia vumbi la kongo😂😂😂😂😂😂😂😂 utani tu
Hiyo ni kwa mujibu wa Dr. Mwaka...cjui wanawake watalichukukiaje....na wao kuna haja ya kutumia vumbi la kongo😂😂😂😂😂😂😂😂 utani tu
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Aug 10, 2012 47,609 40,745 Aug 16, 2020 #5 Kwa ambao mshashutumiwa na wanawake labda kuna ukweli 50%