Wanaume Hatuchepuki kwa Mapenzi yetu!

Ryzen

JF-Expert Member
Dec 6, 2012
7,305
8,651
Haya Maisha yana kila aina ya vituko!, Naanza kuungana na wanaume wenzangu kwamba kuchepuka ni njia sahihi ya ku reveal stress zetu!

Nina Wapenzi wangu wawili ambao nmekuwa nao kwa zaidi ya Miaka miwili...Naona wameanza kunizingua sijui ndo kunichoka!

Mmoja jana anakuja ananiambia kuna kaka mmoja wa studio akienda kupiga picha anampiga Bure na anamwekea picha kwenye frame free of charge!, Nikamuuliza vipi wewe unaona hiyo hali ni sawa au unawaza nini kuhusu mtu kukufanyia bure tena kwenye biashara? Bila Haya ananiambia eti si ROHO NZURI TU JAMANI, nilicheka kwa dharau ase...mademu wemgine reasoning zero! nikampotezea waendelee kupigana picha tu!

sasa mwingine leo nae nawasiliana nae tuonane ananiambia eti hawezi kuja, nikam maindi akapoa kidogo mara anaanza kutoa excuse ooh kila siku mimi napanda dau, nimejaribu kumuweka sawa ila naona hakuna kinachoeleweka nimeamua kuacha kujibu text zake! Alale tu salama tusikerane!

sasa hapa kuna binti ananisumbuaga kinoma na sahivi tu kanitext messenger na ana mvuto mzuri tu, je sasa kwa hii hali ambayo unakuta mwanamke unaemtegemea anakuzingua je utaacha kuchepuka kweli? Absolutely No!

Ndugu zangu Wanaume Hakuna cha ku please sana kwa Wanawake, wewe pale unapoona unaweza ku reveal stress just reveal your stress, kwa maana unaeza kuja piga mtoto wa watu kwa hasira ukaishia jela....piga zako kimya nenda na anayekuelewa kwa wasaa huo!

Hakuna Namna tuchepuke tu! ya nini stress bwana? Finaly unaeza shindwa kufanya mambo yako vizuri uki concetrate sana na Hawa Viumbe!

One Love!
 
ha ha ha ha ha ha ndo nachofanyaha hicho sipend shida na mtoto Wa mtu beat and run tu
 
Haya Maisha yana kila aina ya vituko!, Naanza kuungana na wanaume wenzangu kwamba kuchepuka ni njia sahihi ya ku reveal stress zetu!

Nina Wapenzi wangu wawili ambao nmekuwa nao kwa zaidi ya Miaka miwili...Naona wameanza kunizingua sijui ndo kunichoka!

Mmoja jana anakuja ananiambia kuna kaka mmoja wa studio akienda kupiga picha anampiga Bure na anamwekea picha kwenye frame free of charge!, Nikamuuliza vipi wewe unaona hiyo hali ni sawa au unawaza nini kuhusu mtu kukufanyia bure tena kwenye biashara? Bila Haya ananiambia eti si ROHO NZURI TU JAMANI, nilicheka kwa dharau ase...mademu wemgine reasoning zero! nikampotezea waendelee kupigana picha tu!

sasa mwingine leo nae nawasiliana nae tuonane ananiambia eti hawezi kuja, nikam maindi akapoa kidogo mara anaanza kutoa excuse ooh kila siku mimi napanda dau, nimejaribu kumuweka sawa ila naona hakuna kinachoeleweka nimeamua kuacha kujibu text zake! Alale tu salama tusikerane!

sasa hapa kuna binti ananisumbuaga kinoma na sahivi tu kanitext messenger na ana mvuto mzuri tu, je sasa kwa hii hali ambayo unakuta mwanamke unaemtegemea anakuzingua je utaacha kuchepuka kweli? Absolutely No!

Ndugu zangu Wanaume Hakuna cha ku please sana kwa Wanawake, wewe pale unapoona unaweza ku reveal stress just reveal your stress, kwa maana unaeza kuja piga mtoto wa watu kwa hasira ukaishia jela....piga zako kimya nenda na anayekuelewa kwa wasaa huo!

Hakuna Namna tuchepuke tu! ya nini stress bwana? Finaly unaeza shindwa kufanya mambo yako vizuri uki concetrate sana na Hawa Viumbe!

One Love!
Nina Imani hapo kwenye nyekundu ulimaanisha kuandika Release your stress mkuu.
 

Similar Discussions

4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom