Baassii Ndo kamalizaSiku zote starehe ya maskini ni ngono.......................
suala la kupanga uzazi ni la pande zote mbili lakini mwanamke anaweza kuwa 70% ya mpangilio
Tena sio hali yake."Kila mtu apambane na familia yake"
-Ndumilakuwili-
Kweli kabisa sumbai ni jambo la aibu kwa mwanaume kumsema mwenzio hadharani bila kumkosoa yeye binafsi.Hiyo sio tabia ya kiume kumsema msela wako hivyo.
Ni vema ungemuelimisha namna ya wewe ulivyofanikiwa kufanya family planning
Kisha ukamsaidia na namna ya kujitgemea kiuchumi.
Sasa ukisema kama hivi umemsaidia nini?
Sasa mkuu unataka kuniambia uko mliko watanzania wengi mwanaume ndo anaamua kumbebesha mimba mwanamke tuu yaan yeye akitaka mtoto sawa,,hamna uzazi wa mpango kabisaHakuna aisee hyo labda huko mijini lakini sio huku waliko watanzania wengi