Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Heloo!

Kaka zangu naomba niwaulize hivi kwanini wanaume wengi walio kwenye ndoa, au mahusuano na wenza wanakuwa hawaridhiki na kuwa na vimada nje?

Tatizo ni nini hamtoshelezwi? Tamaa, hulka au ndo asili ya wanaume kuwa na wanawake wengi? Kwa utafiti mdogo tu niliofanya kuanzia baba yangu, wajomba zangu, majirani zangu wenye wenza wao na wafanyakazi wenzangu wengi hao wanaume wana michepuko.

Wengine wake zao wazuri, kisura, kiumbo mpaka tabia ila vinafanya mpaka anatafuta kimada.

Ila ninyi wanaume mkihisi mmegongewa tu ni shida mno na hamna hat a msamaha, ila ninyi mnafanya na mnasamehewa.

Kwanini hamridhiki lakini na wake zenu.?

Mungu anawaona lakini na sasa wadada tunawakubali tu hakuna namna usawa ushakaba huu! Japo ni waume za watu.

Au ndo ule msemo MWANAUME BILA NYUMBA NDOGO NI SAWA NA TAIFA LISILO NA UPINZANI!

Ila taifa lisilo na upinzani lawezekana tu si kama Korea Kaskazini.
 
Heloo...!

Kaka zangu naomba niwaulize hivi kwa nn wanaume wengi walio kwenye ndoa, au mahusuano na wenza wanakua hawaridhiki na kua na vimada nje?!

Tatizo ni nini...?!!hamtoshelezwi?tamaa,hulka au ndo asili ya wanaume kua na wanawake wengi?!

Kwa utafiti mdogo tu niliofanya kuanzia baba yangu,wajomba zangu,majirani zangu wenye wenza wao na wafanyakazi wenzangu wengi hao wanaume wana michepuko.

Wengine wake zao wazuri,kisura,kiumbo mpk tabia Ila vinamnyenya mpk anatafut kimada..

Ila ninyi wanaume mkihisi mmegongewa tu ni shida mnoo na hamna ht msamaha..

Ila ninyi mnafanya na mnasamehewa..

Kwa nn hamridhiki lakini na wake zenu...!!????

Mungu anawaona lakini na ss wadada tunawakubali tu hakuna namna usawa ushakaba huu!Japo ni waume za watu!

Au ndo ule msemo MWANAUME BILA NYUMBA NDOGO NI SAWA NA TAIFA LISILO NA UPINZANI..!!

Ila taifa lisilo na upinzani lawezekana tu si km Korea Kaskazini!
Sio kila mwanafunzi wa chuo jinsi ya kike inavyosemekana wote makahaba,,, ichukue hivyo hivyo,, wapo wababa wanao jielewa, wanachafuliwa na asilimia ndogo sana,,
 
Back
Top Bottom