Kwanini wanaume huwa na michepuko?

tian

JF-Expert Member
Jul 27, 2007
1,769
528
Mtu kaoa juzi tu hata wiki mbili hazijaisha,Anatongoza na kutoa ahadi kedekede,

Lakini ukweli ni kwamba yupo kwenye ndoa,

Mie najiuliza tatizo ni nini hasa kwa hawa kaka zetu?

Kutulia na mke mmoja hamuwezi?

BADILIKA TAFADHALI.
 
Tatizo ni ukitombi
Tabia yake mbovu hat hizo ahadi ni ndoto tu kutimiza
 
wengi wa wanaochepuka huwa wana dushelele kuanzia nchi 6.5 na kuendelea

fuatilia hii case study utaniambia kuwa ni kweli.

yani ukishasifiwa tu na Munkari, basi utataka ichana, sweetlicious, preta, karucee, na king'asti wajue!

lazima uchepuke tu kutangaza ubingwa..
 
Hilo ni janga jamani. Kweli wanaume wabadilike na huwa sifahamu kwa nn wanaoa Kama hawawezi kukaa na mwanamke mmoja
 
Back
Top Bottom