katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,083
- 5,659
- Thread starter
- #61
Sio mimi kijana ni kipenzi changu cha roho kafanyiwa hivyo.Pole sana. Yqmekukuta Nini. Njoo nipo singo boy hapa. Tumleee huyo mtoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mimi kijana ni kipenzi changu cha roho kafanyiwa hivyo.Pole sana. Yqmekukuta Nini. Njoo nipo singo boy hapa. Tumleee huyo mtoto
katoto kazuri ukiamshwa sehemu ya kazi nataka nikupe zawadi nzuri hutoisahau
Ulijua ni siku ya hatari ukaonelewe ufanye yako ila sio powa umeniwezawa kujilaumu ni wewe, kwani mimi najua siku zako za hatari!? ulinipa papuchi nikaisugua na uliona kabisa hatutumii condom sasa unakuja kunitangaza huku ili iweje!? ila i will miss you baby girl
Wewe sio mimi wewe noo siku hizi sina hata mtu nipo singlePole katoto kazuri, vumilia tu uzae, usitoe mimba
Weweee sio mimi naitwa bado kazuriChriss Mauki njoo ukoa huyu single mama.. Pole katoto kabayaee
Kulalwa ni raha sana asali isiyoisha utamu ila huo utamu wasiwatese wengine.Muache uzinzi.
It takes two to tango.
Wewe haupo makini mwanaume anapasuaje condom ?Condom anapasua kabisa makusudi ili ache hiyo zawadi
Wakati anaipasua wewe uko wapiCondom anapasua kabisa makusudi ili ache hiyo zawadi
Tendo la ndoa ndiyo raha siyo uzinzi na uasherati.Kulalwa ni raha sana asali isiyoisha utamu ila huo utamu wasiwatese wengine.
Watu wapeane raha wakitaka familia wafuate process .
Tumia condom acha kutuchosha, but hongera wenzako washakula kila aina ya miti shamba lakini wapi, hongera sana mama KijachoEti unakuwa na mwanaume mnapeana raha mkiaahidiana mengi unamwambia babe na hamishwa kikazi na utakuwa unakuja huko kunisalimia .
Mtu anadai kuwa babe nitakupa kitu ambacho hutonisahau hata siku moja nini?
Wewe mpaka unaenda kwenye makazi yako mapya hujui nizawadi gani wiki kupita kama nne huoni period kumbe kaweka mazaga zaga yake .
Wanaume eleweni kabisa kuzaa ni mipango sio mtu tu unamfanya single mother kisa umeamua kumuachia mtu mtu mwingine wakumlea kumbuka atahitaji mengi .
Uzazi malezi na pia hayo malezi ya mtoto sio rahisi ila nyie mnaona rahisi.
Maisha ni magumu huu ukiritimba muache kabisa sio muwanyime wenzenu starehe zao na hamna mipango now ya mbele.
Unamjaza mtu upepo halafu baadae unadai unaona fresh so mwenzako alikuwa ni laboratory ya kutestiwa vitu halafu mnaofanya hivi niwatu naakili zao.
Wengine mmeoa tayari.
Sijui mnafikiriaga nini kweli acheni uharibifu.
Eti unakuwa na mwanaume mnapeana raha mkiaahidiana mengi unamwambia babe na hamishwa kikazi na utakuwa unakuja huko kunisalimia .
Mtu anadai kuwa babe nitakupa kitu ambacho hutonisahau hata siku moja nini?
Wewe mpaka unaenda kwenye makazi yako mapya hujui nizawadi gani wiki kupita kama nne huoni period kumbe kaweka mazaga zaga yake .
Wanaume eleweni kabisa kuzaa ni mipango sio mtu tu unamfanya single mother kisa umeamua kumuachia mtu mtu mwingine wakumlea kumbuka atahitaji mengi .
Uzazi malezi na pia hayo malezi ya mtoto sio rahisi ila nyie mnaona rahisi.
Maisha ni magumu huu ukiritimba muache kabisa sio muwanyime wenzenu starehe zao na hamna mipango now ya mbele.
Unamjaza mtu upepo halafu baadae unadai unaona fresh so mwenzako alikuwa ni laboratory ya kutestiwa vitu halafu mnaofanya hivi niwatu naakili zao.
Wengine mmeoa tayari.
Sijui mnafikiriaga nini kweli acheni uharibifu.
kabisa yani kweli mdada unaenda enda tu hujui hata mzunguko wako kweli???labda kama na yeye alikua anacheza patapotea.mwanamke mwenye akili hawezi nasa mimba kirahisi rahisi, huyo aliyataka mwenyewe na kunogewa na utamu wa mchezo
Condom anapasua kabisa makusudi ili ache hiyo zawadi
Sasa sioe halafu ufanye hivyo jamani kuliko kumfanya mwenzako single mother.Sasa wewe utaendaje kuchanua miguu huku ukiwa katika siku za vigeregere,alafu mko katkati ya mbio unasikia ooh baby kojoa nje,sasa mtu mzima nitakojoaje nje huku watu wanapita na watoto wanacheza,,mm nitakojoa ndani hukohuko
Niharibiwe mi nyanyaNani amekuharibu tena?