Wanaume bhana mna mambo

wa kujilaumu ni wewe, kwani mimi najua siku zako za hatari!? ulinipa papuchi nikaisugua na uliona kabisa hatutumii condom sasa unakuja kunitangaza huku ili iweje!? ila i will miss you baby girl
Ulijua ni siku ya hatari ukaonelewe ufanye yako ila sio powa umeniweza
 
Eti unakuwa na mwanaume mnapeana raha mkiaahidiana mengi unamwambia babe na hamishwa kikazi na utakuwa unakuja huko kunisalimia .
Mtu anadai kuwa babe nitakupa kitu ambacho hutonisahau hata siku moja nini?
Wewe mpaka unaenda kwenye makazi yako mapya hujui nizawadi gani wiki kupita kama nne huoni period kumbe kaweka mazaga zaga yake .
Wanaume eleweni kabisa kuzaa ni mipango sio mtu tu unamfanya single mother kisa umeamua kumuachia mtu mtu mwingine wakumlea kumbuka atahitaji mengi .
Uzazi malezi na pia hayo malezi ya mtoto sio rahisi ila nyie mnaona rahisi.
Maisha ni magumu huu ukiritimba muache kabisa sio muwanyime wenzenu starehe zao na hamna mipango now ya mbele.
Unamjaza mtu upepo halafu baadae unadai unaona fresh so mwenzako alikuwa ni laboratory ya kutestiwa vitu halafu mnaofanya hivi niwatu naakili zao.
Wengine mmeoa tayari.
Sijui mnafikiriaga nini kweli acheni uharibifu.
Tumia condom acha kutuchosha, but hongera wenzako washakula kila aina ya miti shamba lakini wapi, hongera sana mama Kijacho
 
Wasichana/ wanawake hamueleweki jamaa akisepa tu unaendelea na mwingine, ila kiboko chenu ndo huwa mimba
Eti unakuwa na mwanaume mnapeana raha mkiaahidiana mengi unamwambia babe na hamishwa kikazi na utakuwa unakuja huko kunisalimia .
Mtu anadai kuwa babe nitakupa kitu ambacho hutonisahau hata siku moja nini?
Wewe mpaka unaenda kwenye makazi yako mapya hujui nizawadi gani wiki kupita kama nne huoni period kumbe kaweka mazaga zaga yake .
Wanaume eleweni kabisa kuzaa ni mipango sio mtu tu unamfanya single mother kisa umeamua kumuachia mtu mtu mwingine wakumlea kumbuka atahitaji mengi .
Uzazi malezi na pia hayo malezi ya mtoto sio rahisi ila nyie mnaona rahisi.
Maisha ni magumu huu ukiritimba muache kabisa sio muwanyime wenzenu starehe zao na hamna mipango now ya mbele.
Unamjaza mtu upepo halafu baadae unadai unaona fresh so mwenzako alikuwa ni laboratory ya kutestiwa vitu halafu mnaofanya hivi niwatu naakili zao.
Wengine mmeoa tayari.
Sijui mnafikiriaga nini kweli acheni uharibifu.
 
mwanamke mwenye akili hawezi nasa mimba kirahisi rahisi, huyo aliyataka mwenyewe na kunogewa na utamu wa mchezo
kabisa yani kweli mdada unaenda enda tu hujui hata mzunguko wako kweli???labda kama na yeye alikua anacheza patapotea.
 
Sasa wewe utaendaje kuchanua miguu huku ukiwa katika siku za vigeregere,alafu mko katkati ya mbio unasikia ooh baby kojoa nje,sasa mtu mzima nitakojoaje nje huku watu wanapita na watoto wanacheza,,mm nitakojoa ndani hukohuko
 
Sasa wewe utaendaje kuchanua miguu huku ukiwa katika siku za vigeregere,alafu mko katkati ya mbio unasikia ooh baby kojoa nje,sasa mtu mzima nitakojoaje nje huku watu wanapita na watoto wanacheza,,mm nitakojoa ndani hukohuko
Sasa sioe halafu ufanye hivyo jamani kuliko kumfanya mwenzako single mother.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom