Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 66,697
- 172,654
Si mnasemaga zinaumiza ili mpigwe pekuCondom anapasua kabisa makusudi ili ache hiyo zawadi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si mnasemaga zinaumiza ili mpigwe pekuCondom anapasua kabisa makusudi ili ache hiyo zawadi
Pole katoto kazuri, vumilia tu uzae, usitoe mimbaEti unakuwa na mwanaume mnapeana raha mkiaahidiana mengi unamwambia babe na hamishwa kikazi na utakuwa unakuja huko kunisalimia .
Mtu anadai kuwa babe nitakupa kitu ambacho hutonisahau hata siku moja nini?
Wewe mpaka unaenda kwenye makazi yako mapya hujui nizawadi gani wiki kupita kama nne huoni period kumbe kaweka mazaga zaga yake .
Wanaume eleweni kabisa kuzaa ni mipango sio mtu tu unamfanya single mother kisa umeamua kumuachia mtu mtu mwingine wakumlea kumbuka atahitaji mengi .
Uzazi malezi na pia hayo malezi ya mtoto sio rahisi ila nyie mnaona rahisi.
Maisha ni magumu huu ukiritimba muache kabisa sio muwanyime wenzenu starehe zao na hamna mipango now ya mbele.
Unamjaza mtu upepo halafu baadae unadai unaona fresh so mwenzako alikuwa ni laboratory ya kutestiwa vitu halafu mnaofanya hivi niwatu naakili zao.
Wengine mmeoa tayari.
Sijui mnafikiriaga nini kweli acheni uharibifu.
Mtupanulie wenye akili sio mabishoo ambao hata ratiba ya uchi hawaijuiMbona nyie munatushawishi tuwapanulie .??
😂😂😂😂😂Zawadi ya pekee anayo hitaji mwanamke ni mimba tu ..ukimpa magari na majumba atakudharau na kukukimbia... over
Mpenzi nimekumissMtupanulie wenye akili sio mabishoo ambao hata ratiba ya uchi hawaijui
We jamaa kolo kweli...nmecheka😂😂😂😂😂Kwani ilikuwa lazima mfanye? Au mlitegemea matokeo gani baada ya kufanya. Hivi kuku nao wangeamua kutumia Condom mnafikiri mayai ya kula chipsi mayai mngeyatoa wapi?
Miss u too my love, umzima mwali wangu?Mpenzi nimekumiss
Niko poa loveMiss u too my love, umzima mwali wangu?
Im glad my bebe, hows thursday kicking?Niko poa love
Hii ratiba kumbe uliichukua kikao kilichopita cha wanaumeMtupanulie wenye akili sio mabishoo ambao hata ratiba ya uchi hawaijui
Im glad my bebe, hows thursday kicking?
Pole sana. Yqmekukuta Nini. Njoo nipo singo boy hapa. Tumleee huyo mtotoEti unakuwa na mwanaume mnapeana raha mkiaahidiana mengi unamwambia babe na hamishwa kikazi na utakuwa unakuja huko kunisalimia .
Mtu anadai kuwa babe nitakupa kitu ambacho hutonisahau hata siku moja nini?
Wewe mpaka unaenda kwenye makazi yako mapya hujui nizawadi gani wiki kupita kama nne huoni period kumbe kaweka mazaga zaga yake .
Wanaume eleweni kabisa kuzaa ni mipango sio mtu tu unamfanya single mother kisa umeamua kumuachia mtu mtu mwingine wakumlea kumbuka atahitaji mengi .
Uzazi malezi na pia hayo malezi ya mtoto sio rahisi ila nyie mnaona rahisi.
Maisha ni magumu huu ukiritimba muache kabisa sio muwanyime wenzenu starehe zao na hamna mipango now ya mbele.
Unamjaza mtu upepo halafu baadae unadai unaona fresh so mwenzako alikuwa ni laboratory ya kutestiwa vitu halafu mnaofanya hivi niwatu naakili zao.
Wengine mmeoa tayari.
Sijui mnafikiriaga nini kweli acheni uharibifu.
Hahahahahaha akiipasua wewe mnyime tuu kwani vipiCondom anapasua kabisa makusudi ili ache hiyo zawadi
Eh rafiki yangu mpenzi kafanyiwa hivyo.Hivi kubeba mimba inakuaje mwanaume aamue kama hamkutumia kinga? Au alikudanganya anamwaga nje akaloeka?
Rafiki yangu nae aliniambia alipewa mimba na bf wake bila yeye kujua eti mwanaume ndie alijua leo akitia imo. Sikumuelewa kwa kweli
Hujui amepasua saa ngapi.Hahahahahaha akiipasua wewe mnyime tuu kwani vipi