Wanaume ambao hawana mpango kuoa hebu njooni mtueleze nini kiliwafanya mfikie maamuzi hayo

Muwe mnatoa elimu pia kutufundisha jinsi ya kuachana sisi tuliooa
Wee usiwasikilize hao mungu mwenyewe ndiye aliyeweka ndoa na ndoa ni tamu sana hasa kama mnamtanguliza mungu kwa kila jambo pamoja na kuiombea ili shetani asipate mlango wa kuingia na kuwavuruga.
 
Wee usiwasikilize hao mungu mwenyewe ndiye aliyeweka ndoa na ndoa ni tamu sana hasa kama mnamtanguliza mungu kwa kila jambo pamoja na kuiombea ili shetani asipate mlango wa kuingia na kuwavuruga.
I am asking you, whaaat are you talking about???
 
Ndiyo maana tunabaki single miaka nenda rudi kumbe mmegoma kuoa duh,sasa hamna kupewa papuchi tuone mtapunguzia wapi huo ukali,na kama hamtaoa😜

Kwahiyo familia+watoto hamna mpango nao?
 
Back
Top Bottom