Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,221
- 28,664
Kwa kweli maana we are already tired aiseeMuwe mnatoa elimu pia kutufundisha jinsi ya kuachana sisi tuliooa
Kwa kweli maana we are already tired aiseeMuwe mnatoa elimu pia kutufundisha jinsi ya kuachana sisi tuliooa
Wee usiwasikilize hao mungu mwenyewe ndiye aliyeweka ndoa na ndoa ni tamu sana hasa kama mnamtanguliza mungu kwa kila jambo pamoja na kuiombea ili shetani asipate mlango wa kuingia na kuwavuruga.Muwe mnatoa elimu pia kutufundisha jinsi ya kuachana sisi tuliooa
hasa yule jamaa joka nyeusi siku ma feminist wakimjua watamla nyamaTo be honest JF kwa 80% imechangia mm kufuta kabisa mambo ya ndoa.
I am asking you, whaaat are you talking about???Wee usiwasikilize hao mungu mwenyewe ndiye aliyeweka ndoa na ndoa ni tamu sana hasa kama mnamtanguliza mungu kwa kila jambo pamoja na kuiombea ili shetani asipate mlango wa kuingia na kuwavuruga.