Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,415
- 21,110
Janamke lenyewe bayaaaNiliweka picha ya mke wangu makusudi ili nione wenye tamaa na wake za watu
Janamke lenyewe bayaaaNiliweka picha ya mke wangu makusudi ili nione wenye tamaa na wake za watu
Ameng'aa wapi sura ngumu kama futali ya magimbiKenge nyie mkiuona mke wa mtu ameng'aa mnaanza kutema mate mtatapeliwa, leo ndio nimeona kwamba cc wanaume tupo tunaojua kutongoza na tusiojua kutongoza ila wajanja walishajua kuwa hizi c comments za dem
Ulikuwa unajifunza ushoga?Kenge nyie mkiuona mke wa mtu ameng'aa mnaanza kutema mate mtatapeliwa, leo ndio nimeona kwamba cc wanaume tupo tunaojua kutongoza na tusiojua kutongoza ila wajanja walishajua kuwa hizi c comments za dem
Tena mzinguo wa kiwango cha PHD.Leigwanani anazingua eeh?
Watu tutapandisha mori huku..
Aah kumbe,, ila nltak nimuadabishe
Futa hiyo picha, unaweza kupigwa ban kwa kuleta mambo ya pm jukwaani
Ivi inakuwaje dume zima unajifanya mwanamke.Ahahaahahha
hahahhh kajifunza kwani kidogoNadhani utakuwa umejifunza kitu kupitia comments za wadau,
Ananisingizia tu huyo mtoto.
Nishaolewa na mmewangu yupo
Mkuu nimekuPMNoted mumy...