Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,383
- 40,281
Sijawahi kulipa wala kudaiwa mahari,na mwenzangu yuko strong hataki mahari.Muhimu maisha yenye upendo na mshikamano.
Mahali hailipwi yote.Ni kosa kulipa Mahali yote.Kwan nyie wanaume alie waambia kulipa mahali yote ni dharau nan? Toka nimekuwa sikuwai kisikia mtu akisema hadaiwi mahali wote utasikia mahali nusu kwa nn lkn.
Yap realTrue
Huaminifu imuendeeeee baba mkweKuna mzee mmoja alioaga miaka ya 40 huko na mahari ilikua ni Tsh150,yeye alilipaga sh 50 akawa anadaiwa sh100. Sasa mwaka juzi (2016) akaamua amalizie deni lake ,akamkabidhi mke wake Tsh500 akamwambia akate deni lake la mahari amrudishie sh400 yake .
Labda kwa dini yako, dini yangu nitakudai mpk siku utayovalishwa sanda ndugu zako watanilipa tu labda nitake kukusamehe.Wanawake wakulipia full wako wapi?
Hiyo ni dalili ya muda wowote anaweza kurudishwa na hakuna kunaiana
Hakunaga kutoa chote maana papuch lazm itestiwe kwanza na kitombeooo LA sivo......Kwan nyie wanaume alie waambia kulipa mahali yote ni dharau nan? Toka nimekuwa sikuwai kisikia mtu akisema hadaiwi mahali wote utasikia mahali nusu kwa nn lkn.