Wanaume acheni dharau basi; Malizeni madeni yenu ya mahari

Kwan nyie wanaume alie waambia kulipa mahali yote ni dharau nan? Toka nimekuwa sikuwai kisikia mtu akisema hadaiwi mahali wote utasikia mahali nusu kwa nn lkn.
Mahali sio biashara... Mwanamke sio biashara
 
Na ndugu zako hawataomba msaada kutoka kwetu.?
Kumaliza mahari Ni tusi kwa familia inayoozesha.
Maana yake nimenunua binti yao kwa gharama waliyonitajia.
Kwanza ilitakiwa mahari ifutwe.
Siku hizi mtu unamlipia fedha Bado misaada yote wanasaidiwa ndugu zake zaidi kuliko ndugu wa mume!
Kwa nini mdai pesa?

Zamani mwanamke akiolewa hata kwenda kwao ni msibani au kuwe na shughuli maalumu.

Siku hizi unakuta mtu anakikao Cha familia ya kwao sijui mbwembwe kibao!!
Sasa, si umehama familia!?
Ulikotoka kunakuhusu nini?

Hata wale wapigania haki za usawa hili huwa hawaligusi!
 
Sheria ya Ndowa ya 2005, ilyofanyiwa maboresho June 2018

Kanuni ya FAO LA Mahali

1. Mahali zote Nchi hii zitalipwa katika mfuko mmoja tu wa Serikali kuepuka migongano ya Maslahi baina Kaya pamoja na ucheleweshwaji wa
Mahali kwa wakwe wote wa Nchi hii.

2. Mahali kuanzia sasa italipwa 25% tu.

75% iliyobaki wakwe mtalipwa kidogo kidogo kwa malipo ya kila Mwezi kwa kipindi cha miaka 12.5

3. Endapo Mke atafariki, Wakwe watalipwa kwa Miaka 3 tu baada ya kifo ya mke.

NB: Lengo kuu LA kanuni hii ni kuboresha FAO LA mahali ambapo awali Wakwe wa Nchi hii walikua wakidharirika sana mda mfupi baada ya binti zao kuolewa.

Wengi walopewa Mahali 100% waliishia katika Ulevi na matumizi mabaya ya fedha.

Kanuni hii itawawezesha kufaidi matunda ya binti yao kwa Takribani miaka 12.5 mfurulizo baada ya binti kuolewa.

Watapata malipo ya kila mwezi yalionona kuliko ilivokua awali.

Pia kwa kuangalia Mustakabali mzima wa Maendeleo ya Nchi yetu,

Mfuko huu wa mahali utasaidia sana kuendeleza Sera yetu ya viwanda.

Maana hapo awali,
Tulishindwa kutekeleza Azma yetu ya Viwanda maana wazazi walkua wanatumbua ela zote za mahali bila kuchangia kidogo kwenye maendeleo ya Nchi hii.

TUTAENDELEA KUTOA ELIMU HII KWA MAENDELEO YA NCHI YETU
#UZALENDOKWANZA#
 
Kwan nyie wanaume alie waambia kulipa mahali yote ni dharau nan? Toka nimekuwa sikuwai kisikia mtu akisema hadaiwi mahali wote utasikia mahali nusu kwa nn lkn.
Mwenye ufahamu wa hili naomba anieleshe,ivi kwenye gharama zinazotajwa kule unako peleka posa,zote utambulika kama mahali?ama kile kiasi anacho ulizwa yule anae poswa ndoo utambulika kama mahali?
 
Kwan nyie wanaume alie waambia kulipa mahali yote ni dharau nan? Toka nimekuwa sikuwai kisikia mtu akisema hadaiwi mahali wote utasikia mahali nusu kwa nn lkn.
Vipi ulikua ushaipigia hisabati za budget nini.
Wewe wa wapi? Tangu lini mahali inamaliziwa?! Mahali Hua haimalizwi
 
Kuna mzee mmoja alioaga miaka ya 40 huko na mahari ilikua ni Tsh150,yeye alilipaga sh 50 akawa anadaiwa sh100. Sasa mwaka juzi (2016) akaamua amalizie deni lake ,akamkabidhi mke wake Tsh500 akamwambia akate deni lake la mahari amrudishie sh400 yake .
Umenikumbusha mtiti wa juzi ,bimkubwa kaitisha kikao katwambia mdingi akidedi ,asizikwe mpaka amalize deni la mahali sh 500, eti alimchukua kwa mkopo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom