msumeno
JF-Expert Member
- Aug 3, 2009
- 2,827
- 1,729
Waungwana huu ugonjwa sio mchezo kwa watu wazima, tuende kupima na wala msiogope kupima ni damu tu inachukuliwa na sio yale mambo ya vidole.... ukiwahi matibabu ni bira zaidi
Nyuzi kama hizi wachangiaji huwa wakutafuta kwa tochi, lakini nimewakilisha. Kesho Insha Aallah nakwenda pima liwalo na liwe
Nyuzi kama hizi wachangiaji huwa wakutafuta kwa tochi, lakini nimewakilisha. Kesho Insha Aallah nakwenda pima liwalo na liwe