Katika miaka ya hivi karibuni kuna uhuni kwenye maandishi hasa kwa wanaotuma meseji kwenye simu au post kwenye mitandao ya jamii wakitumia maneno kama xaxa, xan, xaf, luv, n.k. Wenye kujua maana ya haya maneno watujuze. Unaweza kuongeza mengine uliyo kwisha yaona.