Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Soda na Soft drinks zote ni hatari kwa afya ya binadamu. Binadamu hakuumbwa kubugia sukari nyingi namna anayobugia leo. Sukari nyingi huleta unene wa kupitiliza, kitu ambacho huleta kisukari, magonjwa ya moyo nk.
Ni wakati sasa, kama ilivyo kwenye bia; Kwa matangazo yote ya vinywaji laini na kwenye chupa zao kuwa na tangazo la onyo kuwa unywaji kupita kiasi ni hatari kwa afya yako.
Ni wakati sasa, kama ilivyo kwenye bia; Kwa matangazo yote ya vinywaji laini na kwenye chupa zao kuwa na tangazo la onyo kuwa unywaji kupita kiasi ni hatari kwa afya yako.