chilumendo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 2,903
- 3,079
Habari wandungu zaidi wanasimba wenzangu.
Kama mnakumbuka wanautopolo msimu uliopita wa ligi ya mabingwa walikuwa wananunua jezi ya mpinzani wa simba wakiongozwa na bosi tena zilikuwa zinauzwa kwenye maduka ya wachambuzi uchwara.
Lakini msimu huu sijaona mchambuzi yeyote kuhamasisha wanasimba kwenda kununua jezi za wanageria nadhani wanasimba wanajitambua hawawezi kufanya ujinga huo.
Wanasimba hongera kwa hilo kishiriki kwetu caf champion kumetufanya tustarabike. Majilani zetu yanga igeni hata hili baada ya kuiga la kutobeba waajiliwa wenu kwenye machela
Kama mnakumbuka wanautopolo msimu uliopita wa ligi ya mabingwa walikuwa wananunua jezi ya mpinzani wa simba wakiongozwa na bosi tena zilikuwa zinauzwa kwenye maduka ya wachambuzi uchwara.
Lakini msimu huu sijaona mchambuzi yeyote kuhamasisha wanasimba kwenda kununua jezi za wanageria nadhani wanasimba wanajitambua hawawezi kufanya ujinga huo.
Wanasimba hongera kwa hilo kishiriki kwetu caf champion kumetufanya tustarabike. Majilani zetu yanga igeni hata hili baada ya kuiga la kutobeba waajiliwa wenu kwenye machela