Wanasimba Imara tuwe kitu kimoja kipindi hiki cha lala salama

simba ya safari hii imenikatisha tamaa, yaani manara na boss wake wana nyambuana!
bora tupigwe 4 bila ili tujenge nidhamu.
Simba moja nguvu moja.. Ushindi daima..!!!
Simba moja nguvu moja.. Ushindi daima..!!!
Simba moja nguvu moja.. Ushindi daima..!!!
 
Simba moja nguvu moja.. Ushindi LAZIMA..!!!
Simba moja nguvu moja.. Ushindi LAZIMA..!!!
Simba moja nguvu moja.. Ushindi LAZIMA..!!!
IMG_20210723_195414.jpg
 
Simba moja nguvu moja.. Ushindi LAZIMA..!!!
Simba moja nguvu moja.. Ushindi LAZIMA..!!!
Simba moja nguvu moja.. Ushindi LAZIMA..!!!
152844003_261026025464958_4776773613786130840_n-SdhdJT.jpg
 
Simba moja nguvu moja.. Ushindi LAZIMA..!!!
Simba moja nguvu moja.. Ushindi LAZIMA..!!!
Simba moja nguvu moja.. Ushindi LAZIMA..!!!
_119528426_04bd353e-f45b-4ce4-b7b3-ed1c6f035d76.jpg
 
Simba moja nguvu moja.. Ushindi LAZIMA..!!!
Simba moja nguvu moja.. Ushindi LAZIMA..!!!
Simba moja nguvu moja.. Ushindi LAZIMA..!!!
 
Nia ya kumchapa tunayo
Simba moja nguvu moja.. Ushindi daima!

Tumekuwa na wiki ya figisu nyingi. Ni figisu za kutaka kutuvuruga kwa kuwa mpinzani wetu amejikuta hana ubavu wa kutufunga tena kama alivyobahatisha mechi ya mwisho kwenye DeBy ya Kariakoo.

Ni ujuha mkubwa kuwekeza kwenye kuunda migogoro dhidi ya mtani wako kwavile tu kakuzidi kila idara! Huu ni ujinga mkubwa kwakuwa tumeshastukia janja pori ya utopolo fc.

Sisi kwasasa tuna jambo letu moja tu kwenda kumtia adabu mpinzani wetu na kumchapa magoli ya aibu.. Hayo mengine yote kwasasa sio kipaumbele.. Yatashughulikiwa kwa mujibu wa taratibu za kazi, mikataba na maadili yake. Kwaasasa letu ni moja tuu USHINDI WA KISHINDO.. na tuko IIMARA kwenye hilo Tumedhamiria

Tumekamia

Tumepania

Tumejipanga!

Kichapo kwa YANGA kitakuwa kichapo cha umbwa mwizi.. Yeye aendelee tu na majungu yake.. Baada ya mechi tutamuongezea na masufuria...

Simba moja nguvu moja.. Ushindi daima!
Simba moja nguvu moja.. Ushindi daima!
Simba moja nguvu moja.. Ushindi daima!

giphy.gif

Sababu ya kumchapa tunayo
Uwezo wa kumchapa tunao

Simba nguvu moja💪💪
 
Simba moja nguvu moja.. Ushindi daima!

Tumekuwa na wiki ya figisu nyingi. Ni figisu za kutaka kutuvuruga kwa kuwa mpinzani wetu amejikuta hana ubavu wa kutufunga tena kama alivyobahatisha mechi ya mwisho kwenye DeBy ya Kariakoo.

Ni ujuha mkubwa kuwekeza kwenye kuunda migogoro dhidi ya mtani wako kwavile tu kakuzidi kila idara! Huu ni ujinga mkubwa kwakuwa tumeshastukia janja pori ya utopolo fc.

Sisi kwasasa tuna jambo letu moja tu kwenda kumtia adabu mpinzani wetu na kumchapa magoli ya aibu.. Hayo mengine yote kwasasa sio kipaumbele.. Yatashughulikiwa kwa mujibu wa taratibu za kazi, mikataba na maadili yake. Kwaasasa letu ni moja tuu USHINDI WA KISHINDO.. na tuko IIMARA kwenye hilo Tumedhamiria

Tumekamia

Tumepania

Tumejipanga!

Kichapo kwa YANGA kitakuwa kichapo cha umbwa mwizi.. Yeye aendelee tu na majungu yake.. Baada ya mechi tutamuongezea na masufuria...

Simba moja nguvu moja.. Ushindi daima!
Simba moja nguvu moja.. Ushindi daima!
Simba moja nguvu moja.. Ushindi daima!

giphy.gif
Manunu fc bwana.....!!!
Eti ugomvi wote ni hako kafurushi Manara alipoomba afungiwe msosi wa kwenda nao home
Screenshot_20210723-204312.jpg
 
Mshana jr we ndo unafanya watu wazimie na wengne kufa kabsa timu inapopoteza maana kwa uchawi wako unatabiri as If Sangoma anapiga no 9 hahahaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom