Wanasiasa wote ambao ni walimu warudi darasani kufundisha

Upepo wa Pesa

JF-Expert Member
Aug 8, 2015
21,251
34,198
Kutokana na uhaba wa walimu wa sayansi nashauri wanasiasa woote walio someshwa kwa fedha za wananchi tena free warudi darasani wakafundishe.

Hawa wanasiasa wanatakiwa kuwa wazalendo, haiwezekani wasomeshwe bure alafu wakimbie kazi zao wakati nchi ina uhaba mkubwa wa walimu wa sayansi.

Nashauri Mkulu pamoja na Pm waanze kuonyesha uzalendo warudi darasani kufundisha ili kufidia fedha za walipa kodi zilizo tumika kuwasomesha.

Ikiwezekana mkulu apangiwe shule za kule Sumbawanga na Pm apangiwe shule shinyanga vijiji!!

Uzalendo kwanza.
 
Hii nchi imeshapoteza mwelekeo sasa tunajiendea tu, mara utawasikia hakuna Corona ukigeuka hivi utasikia ipo kidogo, ukigeuka huku daktari alieenda hospitali binafsi atafutwe utadhani ndie yuko pekee alieshushwa kutoka mawinguni, wakati mtaani wamejaa madaktari hawana ajira.

Ni vurugu tupu, kweli familia ikikosa kiongozi inaparaganyika.
 
Mtaalamu wamaganda ya korosho apangiwe ukuu wa shule Chato High School au awe Academic Master au Discipline Master au Class Teacher
 
IMG_20210130_123255.jpg
 
Kutokana na uhaba wa walimu wa sayansi nashauri wanasiasa woote walio someshwa kwa fedha za wananchi tena free warudi darasani wakafundishe.

Hawa wanasiasa wanatakiwa kuwa wazalendo, haiwezekani wasomeshwe bure alafu wakimbie kazi zao wakati nchi ina uhaba mkubwa wa walimu wa sayansi.

Nashauri Mkulu pamoja na Pm waanze kuonyesha uzalendo warudi darasani kufundisha ili kufidia fedha za walipa kodi zilizo tumika kuwasomesha.

Ikiwezekana mkulu apangiwe shule za kule Sumbawanga na Pm apangiwe shule shinyanga vijiji!!

Uzalendo kwanza.
Iwapo maslahi ya walimu yata ireshwa kama ya wanasiasa warudi tu,hakuna mtu anayetaka kufanya kazi kwa stress
 
Back
Top Bottom