K kela72 Senior Member May 5, 2008 168 2 Nov 17, 2008 #2 Mh, mzee wa TOT anasikilizia kabisa kiuno!! Duh, huyu mama ninani?
Majita JF-Expert Member Jan 13, 2008 609 190 Nov 17, 2008 #3 kwikwikwikwikwi kweeeee,mimi vidole hivyo vya bwana komba tu
Kaa la Moto JF-Expert Member Apr 24, 2008 7,903 1,053 Nov 17, 2008 #4 GT naye bwana we.! kwani kuna kosa gani hawa wanasiasa kucheza? Au niseme what is special in this picture?
GT naye bwana we.! kwani kuna kosa gani hawa wanasiasa kucheza? Au niseme what is special in this picture?
D Dungulee Member Oct 23, 2008 17 1 Nov 17, 2008 #5 duuu hiyo ilikua ni msondo ama wananjenje?naona mzee komba anakomaa na jimama hahahahahahah!!!!!Kweli kazi na dawa
duuu hiyo ilikua ni msondo ama wananjenje?naona mzee komba anakomaa na jimama hahahahahahah!!!!!Kweli kazi na dawa