Pundit
JF-Expert Member
- Feb 4, 2007
- 3,733
- 123
binadamu kweli nongwa, sasa wakianza kupaka uturi, wakivaa vizuri, body safi mtaanza kusema pesa za wananchi zile, wasipojiweka vizuri mnawalaumu ! GIVE THEM A DAMN BREAK !
Pinda tu keshaanza kupendeza na watu washaanza kuchonga ! sijui suti ya kumeremeta mara hivi, mara vile !
Pinda sijui kuna mtu kamtonya JF kuna mshashi kakumind suti lako la acceptance speech bungeni ova la kutungua Manzese Uzuri.
Maana naona anavaa suti angalau zinazotazamika sasa, angalau zina neutralize sura la shoka lile.SAFI SANA.
Sasa mtu wa sura la shoka akivaa mi suti ya ajabu ajabu halafu na tabia zao wanasiasa kusalimia watoto siku moja watoto wananweza kulia au kukimbia wakifikiria Napoleon The Deevil mwenyewe kawajia.