Freddy81
Member
- Feb 3, 2009
- 99
- 3
Ndio kwani uongo? Hawajui kama kwa sasa siasa ni sayansi, wao wanajua kubwabwaja ndio siasa yenyewe..hawafanyi utafiti, wanatoa data za uongo kabisa ili wananchi wazipende, hawoni hata kidogo kama maamuzi wanayofanya yanaleta athari zipi katika jamii,
Zamani tulisema kuwa mpira ndo mchezo wa wajinga..lakini sasa SIASA NDIO MCHEZO WA WAJINGA.
Mnasemaje?
Zamani tulisema kuwa mpira ndo mchezo wa wajinga..lakini sasa SIASA NDIO MCHEZO WA WAJINGA.
Mnasemaje?