spend watu ka ww hiv unaejua thaman ya mtu baada ya kufa,,leo hii unaona tulipofikishwa sasa..
Makala nzuri.
Hata mimi nilipingana na Magufuli kwenye suala la corona ila naomba nikiri kwamba mwenzetu alikua mbele ya wakati, aliwahi kuona mbele. Leo hii ndio namuelewa jamaa.
Sasa leo Mzanzibari anakuja kukopa hela za kukabiliana na corona anaenda kujenga madarasa utafikiri corona iliangusha madarasa ama madaraja na corona yenyewe haipo.
Anyway, wapumzike kwa amani.