Martin George
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,695
- 1,470
Wanasiasa wanaoshindwa kufanya mikutano majimboni wawe wa CCM au Upinzani si kwamba wamekatazwa bali kiukweli hawakubaliki majimboni yaani ' wamedoda' . Wale wa upinzani wanadai kuna katazo la Rais, hii si kweli mbona mbunge wa Ukonga Mwita Waitara anafanya mikutano kila uchao na hapati usumbufu wowote! Niwaase wabunge wetu hata kama wanajua wazi hawatarudi tena bungeni, hicho siyo kigezo cha wao kutofanya mikutano na kuleta mirejesho ya mambo mbalimbali ikiwemo matumizi ya mfuko wa jimbo.