HUYU NDIO WA KUWAIT?
HaaaHUYU NDIO WA KUWAIT?
Ndio wa wapi huyoBado jiwe tu
Swissme
Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiii..... Nacheka kihutu!Ndio wa wapi huyo
Libya raia wake wajinga, walimwona saddam kama mbabe sawa kabisa na wewe unavyomchukulia, but walibya wanajuta sasa hivi, wanasaka maiti yake wakaiombe msamaha ila haiwezekani tena. Wazungu washafanya yao wamewaachia mgofu na mashimo ya mabomu
Huyu kiongozi alikuwa mbabe hakuna mfano. Tunaweza kumuweka katika category ya kina Hitler, lakini hukumu yake ilionyesha kabisa ubabe ulifikia mwisho.
Najua JF inayo hazina ya wajuzi wa lugha, tupeni tafsiri ya nini Saddam alikuwa anasema hapo
Acheni ushabiki wa kimagharibi na hawa watu wabaya, soma kwa makini hii hotuba ya ghadaffi then ukimaliza fikiria walibywa wanavyoteseka sais, that is the price of democracy
Huyu kiongozi alikuwa mbabe hakuna mfano. Tunaweza kumuweka katika category ya kina Hitler, lakini hukumu yake ilionyesha kabisa ubabe ulifikia mwisho.
Najua JF inayo hazina ya wajuzi wa lugha, tupeni tafsiri ya nini Saddam alikuwa anasema hapo
kuwapulizia sumu wakurd , ambako wanazuoni wanaona hakuna tofauti na ubomoaji wa nyumba za kimara - mbezi , ndio kulinda malighafi za nchi zisichukuliwe na mabepari ?Aliuawa Kwa Kuwa hakutaka Malighafi ya Nchi yake ichukuliwe Na mabepari
Kwi kwi kwi! Jamani njooni msome post hii, huyu sio jiwe mwenyewe kweli? Tunaweza kuwa tumegundua ID yake.Libya raia wake wajinga, walimwona saddam kama mbabe sawa kabisa na wewe unavyomchukulia, but walibya wanajuta sasa hivi, wanasaka maiti yake wakaiombe msamaha ila haiwezekani tena. Wazungu washafanya yao wamewaachia mgofu na mashimo ya mabomu
Hakuna aliyepuliziwa sumu, ndugu yangu mzungu akikutaka atasema mambo mengi tu kukuhusu na ulimwengu utaaminishwa hivyo akati ni uongokuwapulizia sumu wakurd , ambako wanazuoni wanaona hakuna tofauti na ubomoaji wa nyumba za kimara - mbezi , ndio kulinda malighafi za nchi zisichukuliwe na mabepari ?
Eti Libya!! Huyu bila shaka ndie mwenyewe!!Kwi kwi kwi! Jamani njooni msome post hii, huyu sio jiwe mwenyewe kweli? Tunaweza kuwa tumegundua ID yake.
Elli, Salary Slip, Retired, G Sam