NgugiAchebe
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 1,025
- 688
Nimefatilia sana mgogoro wa congo kinshasa nikaona hawa wana siasa wa kiafrica, sio wema kwa vijana
Kuna mwana siasa wa congo anaitwa, kisekedi huyu jamaa anaongoza chama kinaitwa, UDPS mwaka 1990 nilikua congo kibiashara, mda, mwingi nilikua huko nilikua na kuja bongo kumjulia hali wif kisha, narudi congo alisumbua sana mobutu yy na kenge wa dondo kwa kweli
Lakini kwenye mzozo huu wa sasa ambao kabila ameamua kwa maksudi kabisa kujiongezea mda wa kubaki madarakani kitu ambacho ni kosa, kabisa,
Huyu bwana kisekedi amekua na wafwasi wengi sana ndani, ya, congo lakini inapotokea vurugu tu yy hukimbia, ubelgiji au, belgium ndio anatolea sauti lake la kuamasisha, vijana waandamane wasimtambue kabila kama rais huku vijana wakiuawa na askari wa kabila
Ila yy yupozake, ulaya anastarehe, akia galia, tv
Na kuaacha, vijana, wa, congo wakiteseka kwa, kumfata mtu ambae anatoa matamshi ulaya
Kuna mwana siasa wa congo anaitwa, kisekedi huyu jamaa anaongoza chama kinaitwa, UDPS mwaka 1990 nilikua congo kibiashara, mda, mwingi nilikua huko nilikua na kuja bongo kumjulia hali wif kisha, narudi congo alisumbua sana mobutu yy na kenge wa dondo kwa kweli
Lakini kwenye mzozo huu wa sasa ambao kabila ameamua kwa maksudi kabisa kujiongezea mda wa kubaki madarakani kitu ambacho ni kosa, kabisa,
Huyu bwana kisekedi amekua na wafwasi wengi sana ndani, ya, congo lakini inapotokea vurugu tu yy hukimbia, ubelgiji au, belgium ndio anatolea sauti lake la kuamasisha, vijana waandamane wasimtambue kabila kama rais huku vijana wakiuawa na askari wa kabila
Ila yy yupozake, ulaya anastarehe, akia galia, tv
Na kuaacha, vijana, wa, congo wakiteseka kwa, kumfata mtu ambae anatoa matamshi ulaya