johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,761
- 141,628
Vijana ambao ni viongozi wa kisiasa walipigwa na butwaa mara tu walipoingia katika mjengi wa rip Mengi.
Mmoja wao alisikika akisema " hii ndio nyumba binadamu anatakiwa aishi"
Nadhani baada ya msiba vijana watatoka na fikra mpya kuhusu makazi.....maana yanayofanyika Australia kumbe yamewezekana Machame.
Angalizo huko serikalini tuwe makini na watumishi wenye roho za tamaa maana watafisadi na kule CCM ndio kabisaaa.......tukizubaa tumekwisha.
Msione vyaelea vimeundwa!
Mmoja wao alisikika akisema " hii ndio nyumba binadamu anatakiwa aishi"
Nadhani baada ya msiba vijana watatoka na fikra mpya kuhusu makazi.....maana yanayofanyika Australia kumbe yamewezekana Machame.
Angalizo huko serikalini tuwe makini na watumishi wenye roho za tamaa maana watafisadi na kule CCM ndio kabisaaa.......tukizubaa tumekwisha.
Msione vyaelea vimeundwa!