cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,324
Mkubwa ni Kama shombe nawajua tu wawiliJamaa ana wake wangapi sasa, huyo mkubwa ndio yule kama shombe
Mkubwa ni Kama shombe nawajua tu wawiliJamaa ana wake wangapi sasa, huyo mkubwa ndio yule kama shombe
Dah Mungu nijalie hela nyingi na mie 😂😂😂 dunia haina maana bila hela akyananiHahaaa pisi flani hivi, ukiwa maarufu una hela the future is promising hukosi mrembo wa kuoa. Tena huyo halima aligombana na babake kisa zito Hadi jiwe aliwahi kumchamba kisa zito
Ndio huyo nimefukua makaburi ya jf nikamuona pisi kama ya ubalozi hivi 😂😂🤣Mkubwa ni Kama shombe nawajua tu wawili
Yes huyo mrembo alikuwa anafanya shirika flani hivi jinsi alivokuwa ansjitoa Tena alikuwa mkristoNdio huyo nimefukua makaburi ya jf nikamuona pisi kama ya ubalozi hivi
Ni mke au ni demu tuHalima bulembo ni mke mdogo wa zito
Pesa, umaarufu ssbuni ya roho inakurajisishia mengi hapa dunianiDah Mungu nijalie hela nyingi na mie dunia haina maana bila hela akyanani
Ahaa kwahio kahamia uislamuniYes huyo mrembo alikuwa anafanya shirika flani hivi jinsi alivokuwa ansjitoa Tena alikuwa mkristo
Unateleza tu yani sema uwe na umaarufu wa maana sio wa kipumbavu tho!Pesa, umaarufu ssbuni ya roho inakurajisishia mengi hapa duniani
Mke wa ndoaNi mke au ni demu tu
Ndio maana ake chezea the future is promising, weyeAhaa kwahio kahamia uislamuni
Walifunga ndoa kimya kimya.Mke wa ndoa
Ndio unasaidia kiasi umaarufu hasa ukiutumia in positive wayUnateleza tu yani sema uwe na umaarufu wa maana sio wa kipumbavu tho!
Ndio ya kiislamu. Nilionaga Uzi humu na Instagram na picha za ndoaWalifunga ndoa kimya kimya.
Wewe ni Raia wawapi usiona I muhimu wa katiba mpya ?Siasa za majitaka na za uchwara hatimaye zimapitwa rasmi. Hii mi kutokana na muitikio mdogo wa watu kujitokeza kwenye igizo lao la kudai kitu ambacho hata hawakijui.
Hii ni meseji kwao kuwa wananchi wamechagua maisha, pesa na amani kuliko hiyo sijui katiba. Hivyo niwaombe wananchi wote waendelee kuwapuuza hawa wanasiasa uchwara.
Na Kama wataendelea kushupaza shingo basi huu mwaka ni rasmi chama chao linaenda kuzikwa. Hivyo nitoe rai pia kwa wote waliolaghaiwa na hawa wanasiasa uchwara kujikita zaidi kwenye kutafuta pesa na kuinua uchumi wao badala ya kuwa oyaoya kwa vitu vya ajabu ajabu.
#kazi iendelee#
Uchumi kwanza
Wewe ni mchicha mwiba. Watakua wanakupindua wahuni. Hueleweki unashida gani. Umeanzisha mada kuwa hakuna watu sasa umebadili gear angani baada ya kuaibishwa mchana kweupe.Kuna vitu vinachekesha sana leo kwenye kitchen party yao ya siasa wameanza kumtisha Raisi.
Ni kwamba hakuna watu wanajua mamlaka ya raisi huko kwenye kikundi chenu? Kama hamna anaejua basi tafuteni anayejua awaambie.
Hivyo vitisho havitafanikiwa, maana mtashikishwa adabu.
Hebu ona walevi wa faru John ambao wanafanya biashara ya siasa nao wanaongea kumtisha Raisi. Hivi mnamjua vizuri raisi?
Kuna watu wanawakwepa kuwaambia ukweli, Ila Mimi nitawaambia tu hata mkinuna mkitukana ni hivi HAKUNA JAMBO LENU LITALOFANIKIWA KWENYE SIASA, HAKUNA
hivyo huo muda ni bora muutumie kufanya kazi na kukuza uchumi.
#kazi iendelee#
we mlugaluga wa lumumba haya sikiliza wanaume tunaongeaSiasa za majitaka na za uchwara hatimaye zimapitwa rasmi. Hii mi kutokana na muitikio mdogo wa watu kujitokeza kwenye igizo lao la kudai kitu ambacho hata hawakijui.
Hii ni meseji kwao kuwa wananchi wamechagua maisha, pesa na amani kuliko hiyo sijui katiba. Hivyo niwaombe wananchi wote waendelee kuwapuuza hawa wanasiasa uchwara.
Na Kama wataendelea kushupaza shingo basi huu mwaka ni rasmi chama chao linaenda kuzikwa. Hivyo nitoe rai pia kwa wote waliolaghaiwa na hawa wanasiasa uchwara kujikita zaidi kwenye kutafuta pesa na kuinua uchumi wao badala ya kuwa oyaoya kwa vitu vya ajabu ajabu.
#kazi iendelee#
Uchumi kwanza
Tuletee picha ya sasa hivi mkuu.
Ahahahah usinifanyie hivyo broUmeshindwa kukomboa familia yako tu alafu unataka kuwakomboa watz?
Wamekwambia wako utumwani?
Watu tu wamechoshwa na siasa. Waabaki kuangalia tu. Tangu uhuru tumembiwa mengi maara tufunge mikanda lakini hatujaambiwa tufungue. Mara uchmi umekua mara umeporromoka. Huu msemo wa subira yavuta heri kwa hali hii hau apply kabisa. Sasa tumeambiwa tusubiri uchumi usimaamishwe lakini kipimo gani hatujui.Siasa za majitaka na za uchwara hatimaye zimapitwa rasmi. Hii mi kutokana na muitikio mdogo wa watu kujitokeza kwenye igizo lao la kudai kitu ambacho hata hawakijui.
Hii ni meseji kwao kuwa wananchi wamechagua maisha, pesa na amani kuliko hiyo sijui katiba. Hivyo niwaombe wananchi wote waendelee kuwapuuza hawa wanasiasa uchwara.
Na Kama wataendelea kushupaza shingo basi huu mwaka ni rasmi chama chao linaenda kuzikwa. Hivyo nitoe rai pia kwa wote waliolaghaiwa na hawa wanasiasa uchwara kujikita zaidi kwenye kutafuta pesa na kuinua uchumi wao badala ya kuwa oyaoya kwa vitu vya ajabu ajabu.
#kazi iendelee#
Uchumi kwanza