Wanasiasa: Tupunguze kuchamba kwingi ni hatari!!!

m2020

JF-Expert Member
Jul 10, 2016
979
1,353
Ni ushauri kwa wanasiasa wetu hasa wale wanaojiita wa upinzani hebu jitahidini mpunguze kuchamba kwingi mnajishushia hadhi. Nimekuwa nikishuhudia mkitoa matamko yasiyo na tija wala weledi kwa ujenzi wa taifa letu.

Kila kukicha ni kukosoa tuuuu hakuna kizuri cha serikali yetu. kiukweli sisi wananchi wa kawaida tunapata taabu saanaa ya kuwaamini na mnatufikisha mahala tunawaona kama vile kuwepo kwenu kikatiba ni zigo la mavi kwa taifa.

Nawasihi mtambue umuhimu wenu na majukumu yenu kwa nchi yetu. Hebu mjitahidi kujenga hekima, maarifa na busara kama mzee Lowasa.

Acheni kutumika kwa wasiolitakia mema taifa letu. Mjitafakari kabla ya kutamka na kutenda.

Ni ushauri tu.
 
Ni ushauri kwa wanasiasa wetu hasa wale wanaojiita wa upinzani hebu jitahidini mpunguze kuchamba kwingi mnajishushia hadhi. Nimekuwa nikishuhudia mkitoa matamko yasiyo na tija wala weledi kwa ujenzi wa taifa letu.

Kila kukicha ni kukosoa tuuuu hakuna kizuri cha serikali yetu. kiukweli sisi wananchi wa kawaida tunapata taabu saanaa ya kuwaamini na mnatufikisha mahala tunawaona kama vile kuwepo kwenu kikatiba ni zigo la mavi kwa taifa.

Nawasihi mtambue umuhimu wenu na majukumu yenu kwa nchi yetu. Hebu mjitahidi kujenga hekima, maarifa na busara kama mzee Lowasa.

Acheni kutumika kwa wasiolitakia mema taifa letu. Mjitafakari kabla ya kutamka na kutenda.

Ni ushauri tu.
Kazi ya upinzani ni kukosoa ili serikali iliyopo madarakani iweze kufanya vizuri zaidi
 
Kazi ya upinzani ni kukosoa ili serikali iliyopo madarakani iweze kufanya vizuri zaidi
Nakubaliana na wewe mkuu ila si sahihi kukosoa hata kile kilicho chema. Tujifunze kwa wenzetu wa magharibi mbona wao wanamaendeleo makubwa duniani lakini upinzani wao haukosoi kila kitu? kwenye kizuri husifu tofauti na sisi ambao hukosoa hata chema au chenye manufaa kwa nchi. Tujirekebishe jamani.
 
Back
Top Bottom