Ni ushauri kwa wanasiasa wetu hasa wale wanaojiita wa upinzani hebu jitahidini mpunguze kuchamba kwingi mnajishushia hadhi. Nimekuwa nikishuhudia mkitoa matamko yasiyo na tija wala weledi kwa ujenzi wa taifa letu.
Kila kukicha ni kukosoa tuuuu hakuna kizuri cha serikali yetu. kiukweli sisi wananchi wa kawaida tunapata taabu saanaa ya kuwaamini na mnatufikisha mahala tunawaona kama vile kuwepo kwenu kikatiba ni zigo la mavi kwa taifa.
Nawasihi mtambue umuhimu wenu na majukumu yenu kwa nchi yetu. Hebu mjitahidi kujenga hekima, maarifa na busara kama mzee Lowasa.
Acheni kutumika kwa wasiolitakia mema taifa letu. Mjitafakari kabla ya kutamka na kutenda.
Ni ushauri tu.
Kila kukicha ni kukosoa tuuuu hakuna kizuri cha serikali yetu. kiukweli sisi wananchi wa kawaida tunapata taabu saanaa ya kuwaamini na mnatufikisha mahala tunawaona kama vile kuwepo kwenu kikatiba ni zigo la mavi kwa taifa.
Nawasihi mtambue umuhimu wenu na majukumu yenu kwa nchi yetu. Hebu mjitahidi kujenga hekima, maarifa na busara kama mzee Lowasa.
Acheni kutumika kwa wasiolitakia mema taifa letu. Mjitafakari kabla ya kutamka na kutenda.
Ni ushauri tu.