Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
Ninajisikia vibaya kama Raia wa Tanzania pale ambapo wanasiasa wetu wanafanya kwa makusudi kabsa kufanya kwamba hakuna tofauti ya Msaada na Mkopo... It is clear kwamba mkopo sio msaada ... please be carefully,
Please wabunge na wanasiasa wengine muwe mnaweka wazi hizi tofauti... si kweli kwamba kuna tatizo ya msamiati... everything is clear
Msaada == grant
Mkopo == loan....
Na mtuambie tangu lini Benki iwe AfDB, World Bank zinatoa misaada ?
Please wabunge na wanasiasa wengine muwe mnaweka wazi hizi tofauti... si kweli kwamba kuna tatizo ya msamiati... everything is clear
Msaada == grant
Mkopo == loan....
Na mtuambie tangu lini Benki iwe AfDB, World Bank zinatoa misaada ?