Hata Sina kinyongo
Senior Member
- May 16, 2020
- 118
- 280
Hivi hili suala la mafundisho ya masuala ya uzazi kwa wanafunzi limekaaje na kwa nini NGOs baadhi zinaruhusiwa kutoa mafunzo hayo mashuleni!?
Hivi binti/kijana aliyepo shuleni anapofunzwa mambo kama hayo muktadha wake ni upi hasa!?
Tafadhari wenye Mamlaka ondoeni mafunzo hayo mashuleni kwa watoto wetu.
Viongozi wa Dini lipingeni hilo kwa nguvu zote jambo hilo kama walivyofanya wenzenu wa Kenya kwa maana mafunzo hayo yana hasara nyingi kwa mustakabali wa wanafunzi kuliko faida.
Ni ujinga/ujuha kimfundisha mtoto wa shule namna ya kujikinga na mimba afanyapo mapenzi na mpenzi wake-pumbavu kabisa!
Mungu ibariki Tanzania na Timu ya Yanga.
Hivi binti/kijana aliyepo shuleni anapofunzwa mambo kama hayo muktadha wake ni upi hasa!?
Tafadhari wenye Mamlaka ondoeni mafunzo hayo mashuleni kwa watoto wetu.
Viongozi wa Dini lipingeni hilo kwa nguvu zote jambo hilo kama walivyofanya wenzenu wa Kenya kwa maana mafunzo hayo yana hasara nyingi kwa mustakabali wa wanafunzi kuliko faida.
Ni ujinga/ujuha kimfundisha mtoto wa shule namna ya kujikinga na mimba afanyapo mapenzi na mpenzi wake-pumbavu kabisa!
Mungu ibariki Tanzania na Timu ya Yanga.