johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,872
Kimichezo inakubalika lakini kisiasa hii imekaaje? Tulishindwa kweli kuishia sare ya 1 - 1 hadi Zenji watake sifa kwa kufunga goli lingine!! Huu ni uzalendo au tuiteje, nauliza tu mwanawane!