Wanasiasa na watu wa dini mbona sioni wakimjulia hali Mb.Mbatia?

eddy

JF-Expert Member
Dec 26, 2007
14,982
9,873
Mheshimiwa Mbatia hali yake si nzuri yuko anasumbuliwa na maradhi lakini nimemwona Lowasa na Maalim tu ndio walioenda kumjulia hali, nilimwona Mh.Mbatia akiongea kwa machungu sana akitamani hata roho yake ichukuliwe, kwa kweli nilipatwa simanzi na nikaona anahitaji kufarijiwa na kuombewa, cha kushangaza washirika wake akina kafulila wamemkimbia na hakuna vingozi wa dini wanaokwenda kumjulia hali na kumwombea.
 
unataka mwana siasa gani mwingine aende?
nilitegemea spika waziri husika au washirika wake wa ukawa anagalau wamjulie hali, nilitegemea paroko wake angalau amjulie hali, ukiona alivyokuwa anaongea siku alivyotembelewa na mzee wetu lowasa utapata simanzi, yaani anatamani hata Mungu amchukue sasa hivi.
 
Kwan Mh. Mbatia anaumwa nini wakuu, maana ni kitambo sijamsikia huyu Gwiji wa siasa za upinzani
 
nilitegemea spika waziri husika au washirika wake wa ukawa anagalau wamjulie hali, nilitegemea paroko wake angalau amjulie hali, ukiona alivyokuwa anaongea siku alivyotembelewa na mzee wetu lowasa utapata simanzi, yaani anatamani hata Mungu amchukue sasa hivi.
Lakini huwezi jua pengine wameenda lakini hawakutaka kujionyesha kwa Public
 
Umeniacha hoi sehemu ya kwamba ulimuona akitaman hata roho yake ichukuliwe ,duuh mungu amponye arud katika hali yake
 
Kwasababu huwa anawapa ukweli, the guy is very smart upstairs
 
Mleta Thread ule ulemavu wa akili bado hujapona nadhani bado mapoda yanakutesa sana.
 
Mheshimiwa Mbatia hali yake si nzuri yuko anasumbuliwa na maradhi lakini nimemwona Lowasa na Maalim tu ndio walioenda kumjulia hali, nilimwona Mh.Mbatia akiongea kwa machungu sana akitamani hata roho yake ichukuliwe, kwa kweli nilipatwa simanzi na nikaona anahitaji kufarijiwa na kuombewa, cha kushangaza washirika wake akina kafulila wamemkimbia na hakuna vingozi wa dini wanaokwenda kumjulia hali na kumwombea.
Hana maslahi
 
Wewe umwa uone kama watakuka kukujulia hali
Ila kama mshiko upo utaona viobgozi wa dini na watu kibao wakija kukukulia hali
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom