Nzowa Godat
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 2,783
- 819
Nyie viongozi wa kisiasa wa Tanzania yaani nyie mnaoitana MAGamba na MAGwanda mnakowapeleka watanzania siko! wala hamjashtuka! kwa nini mnawagawa watanzania kwa sababu tu ya tamaa zenu? If you will not arrest this political situation "haki ya nani" I tell you, you shall witness the civil war. People outside here are totally disappointed. Ninamwomba, kwa dhati ya moyo wangu, Yehova atuepushe na dhahama ya namna hiyo. BWANA Yesu Asifiwe sana.